GE2025 Hongera Samia kwa 'ushindwe' wa kishindo hata kabla ya matokeo!

GE2025 Hongera Samia kwa 'ushindwe' wa kishindo hata kabla ya matokeo!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,426
1761704688957.png

Hongera mama Samia kwa ushindi hata kabla ya uchaguzi. Kwa vile watanzania wote wanakupenda kiasi kuwa tayari kutoa uhai wako kwa ajili yako, hapakuwa na haja ya kukuchosha na kukuaibisha kwa uchaguzi ambao uliishashinda hata kabla ya kufa Magufuli kwa vile wewe ni chaguo la Mungu.
 
Kumradhi Nielimishe bure. Je, upumbavu ni upi? Ni wako au wangu au wa Samia? Naomba uongeze shetani mwanangu na unisamehe sana
Upumbavu ni kutetea watu kuingiliwa kinyume na maumbile, ufisadi, mauaji.. Nk

Bahati nzuri upumbavu huwa unaondolewa, still you have a chance.
 
Upumbavu ni kutetea watu kuingiliwa kinyume na maumbile, ufisadi, mauaji.. Nk

Bahati nzuri upumbavu huwa unaondolewa, still you have a chance.
Loh, sikuyuaua haya ya kuingiliana kinyume cha maumbile. Wametufikisha hapo!!!
 
Oya VPN gani unatumia naona post inasoma 2pm today 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom