Hongera raisi, wenzako wakuangusha

Hongera raisi, wenzako wakuangusha

MANILABHONA

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2015
Posts
462
Reaction score
351
Mheshimiwa tunakupongeza sana kwa jitihada unazofanya. Kubwa kuliko, umehakikisha watoto wanaenda shule, wakulima wanapata malipo yao. Madawa kibao yanaonekana vituoni sasa kuliko ilivyokuwa awali.

Kwa usiri mkubwa, naomba usinitaje watanishughulikia nakuonesha picha za madawa yaliyotupwa ndani ya majengo mabovu kutokana na madawa kuwa mengi kuliko mahitaji na mengine yameisha muda wake wa matumizi.

Picha nimezichukua usiku kutoka kwenye taasisi moja ya serikali ya mkoa kutokana na kuogopa kushughulikiwa. Hivi kweli tumefikia sehemu ya kutupa dawa?Hakuna vituo vingine vyenye uhitaji wa dawa hizi?.

Wenzako wanakuangusha mh. Raisi. Nilinde wakati ukiwashughulikia
IMG_20191031_123540.jpg
IMG_20191031_123559.jpg
IMG_20191031_123542.jpg
IMG_20191031_123602.jpg
 
Back
Top Bottom