Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,602
Wanabodi,
Wakati wa lile sekeseke ya Kiwanda cha Dangote kusitisha uzalishaji sementi kufuatia gharama kubwa za uzalishaji, kuna watu tulishauri humu, kama Tancoal wameshindwa kuzalisha makaa ya mawe, then Dangote aruhusiwe kuchimba mwenyewe.
Leo akiwa katika sherehe ya uzinduzi wa magari 580 ya Dangote, rais Magufuli amemruhusu Dangote kuchimba mwenyewe Makaa ya Mawe na kuyasafirisha kwa matumizi yake na akiweza kuchimba ya ziada auzie wengine. Kwa hatua hii, Rais Magufuli anastahili pongezi za dhati sana.
Sasa bado aruhusiwe kujenga reli yake, aruhusiwe kujenga bandari yake Mtwara, aruhusiwe kuchimba gesi yake.
Kuhusu gesi wengi humu tulimtetea Dangote kwa nini auziwe gesi kwa bei ya Dar es Salaam. Ameamrisha ndani ya siku saba apewe bei elekezi kwa mkoa wa Mtwara.
Pamoja na matatizo mengine ya rais wetu kama hili la udikteta, kwenye mazuri jamani tumpongeze huyu Msukuma. He is very practical, ameondoa lots of red tapes.
Hongera sana rais wetu Magufuli.
Wale matajiri wetu, kina Mengi, MO Dewji, Manji, Mfuruki and the like, kiukweli Watanzania would have like to see hizo opportunities alizopewa Alhaj Aliko Dangote, wangepewa pia kina Dangote wetu.
Paskali
Wakati wa lile sekeseke ya Kiwanda cha Dangote kusitisha uzalishaji sementi kufuatia gharama kubwa za uzalishaji, kuna watu tulishauri humu, kama Tancoal wameshindwa kuzalisha makaa ya mawe, then Dangote aruhusiwe kuchimba mwenyewe.
Leo akiwa katika sherehe ya uzinduzi wa magari 580 ya Dangote, rais Magufuli amemruhusu Dangote kuchimba mwenyewe Makaa ya Mawe na kuyasafirisha kwa matumizi yake na akiweza kuchimba ya ziada auzie wengine. Kwa hatua hii, Rais Magufuli anastahili pongezi za dhati sana.
Sasa bado aruhusiwe kujenga reli yake, aruhusiwe kujenga bandari yake Mtwara, aruhusiwe kuchimba gesi yake.
Kuhusu gesi wengi humu tulimtetea Dangote kwa nini auziwe gesi kwa bei ya Dar es Salaam. Ameamrisha ndani ya siku saba apewe bei elekezi kwa mkoa wa Mtwara.
Pamoja na matatizo mengine ya rais wetu kama hili la udikteta, kwenye mazuri jamani tumpongeze huyu Msukuma. He is very practical, ameondoa lots of red tapes.
Hongera sana rais wetu Magufuli.
Wale matajiri wetu, kina Mengi, MO Dewji, Manji, Mfuruki and the like, kiukweli Watanzania would have like to see hizo opportunities alizopewa Alhaj Aliko Dangote, wangepewa pia kina Dangote wetu.
Paskali