Hakuna jambo baya kama wizi wa mitihani kwani hupelekea kupata mabosi Vilaza na kutuletea tabu kwenye taifa.
Wilaya ya Kilindi ilikua ni mojawapo ya Ngome za uvujaji wa mitihani , ilifikia hatua mpaka mitihani ya MOCK ilisoviwa, wadau mbali mbali walipigia kelele suala hili Mimi binafsi nilitaja mpaka shule kupitia nyuzi mbali mbali humu.
Pamoja na kutishiwa maisha na vigogo lakini pia sikupewa zawadi yoyote!
Jambo la pekee nilifurahi kuona utopolo huu ukifika mwisho na sasa angalau kuna afadhali japo kuna shule chache ambazo nitazitaja kwenye uzi ujao bado hazijaacha.
Hongera Necta endeleeni kukataza na kukomesha
Wilaya ya Kilindi ilikua ni mojawapo ya Ngome za uvujaji wa mitihani , ilifikia hatua mpaka mitihani ya MOCK ilisoviwa, wadau mbali mbali walipigia kelele suala hili Mimi binafsi nilitaja mpaka shule kupitia nyuzi mbali mbali humu.
Pamoja na kutishiwa maisha na vigogo lakini pia sikupewa zawadi yoyote!
Jambo la pekee nilifurahi kuona utopolo huu ukifika mwisho na sasa angalau kuna afadhali japo kuna shule chache ambazo nitazitaja kwenye uzi ujao bado hazijaacha.
Hongera Necta endeleeni kukataza na kukomesha