Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,906
- 28,073
Ngoja tusubiri mpaka siku yenyewe ifike...Kesho unaweza shangaa pepo la CCm likampanda akaongea mambo ya ajabu..
kweli,naye anaganya hivyo kuepuka kumwagwa ubunge kwenye jimbo lake mwakaniWadau amani iwe nanyi...hakika nafurahishwa na namna mh Ndugai anavyoliongoza bunge kwa kuruhusu mijadala na kupokea ushauri kutoka kwa wabunge ambao wamekuwa mwiba kuona kwamba muhimili wao umekuwa ukiingiliwa kwa kuifanya mahakama kuwa ni kichaka cha kuwaficha mafisadi wa nchi hii...
Tuungane pamoja kumpongeza naibu spika na tuwe na imani kwamba mbivu na mbichi za escrow zitafichuka ndani ya bunge hili.
Jinsi jana wabunge walivyokuwa na mhemuko hata kama angekuwa mawig angeishia kutukanwa kama angeleta za kuleta.
Atawekwa kitimoto na waziri mkubwa tutashangaa msamuzi atakayo yachukua
ikiwezekana abaki huko huko sisi hatumtaki tena vp huku atakuwa ameshaolewa tayariNi rais wa bunge la sadc..amekula shavu huko... anaishi afrika kusini.
wangese ni sisi wananchi ngoja wazidi kutuibia, ibeni tena mafisadi ikiwezekana hamishieni safe za BOT kwenu, watz watafunguka lini
Aisee sasa huko umefika mbali...... yaani sisi ni wafu...tungekuwa maiti hili sakata lingekuwa katika hatua tuliopo sasa ...... halafu mkenya kaongea hivyo na wewe unashabikia..... hivi unaufahamu ufisadi unaotokea kenya..... ukiachia mbali gema na wenzao walivyohodhi ardhi yote huku wengi wao wakiwa hohe hahe....
Mkulu naomba ufute kauli hapa.... licha ya kuwa haitafutika moyoni.
Aisee sasa huko umefika mbali...... yaani sisi ni wafu...tungekuwa maiti hili sakata lingekuwa katika hatua tuliopo sasa ...... halafu mkenya kaongea hivyo na wewe unashabikia..... hivi unaufahamu ufisadi unaotokea kenya..... ukiachia mbali gema na wenzao walivyohodhi ardhi yote huku wengi wao wakiwa hohe hahe....
Mkulu naomba ufute kauli hapa.... licha ya kuwa haitafutika moyoni.
Wanachi tuna kitu cha kufanya ambacho kinaweza kikawa na matokeo mazuri zaid ya kupongeza. ulivyo toa mada yako kama vile wananichi hawana mamlaka ya kutolea maamuzi ya swala hili zaidi ya bunge.Wadau amani iwe nanyi...hakika nafurahishwa na namna mh Ndugai anavyoliongoza bunge kwa kuruhusu mijadala na kupokea ushauri kutoka kwa wabunge ambao wamekuwa mwiba kuona kwamba muhimili wao umekuwa ukiingiliwa kwa kuifanya mahakama kuwa ni kichaka cha kuwaficha mafisadi wa nchi hii...
Tuungane pamoja kumpongeza naibu spika na tuwe na imani kwamba mbivu na mbichi za escrow zitafichuka ndani ya bunge hili.
Kuna aliyewahi kuwa Rais wa Kenya aliwahi kusema Viongozi wa Tanzania wanaongoza Maiti. mkuu huyu ni bwana JOMO KENYATA alimwambia mwalim nyerere 'WEWE UNASEMA NCHI YAKO INA AMANI?AMANI IPO KWA AJIL UNATAWALA MAKONDOO.
Na mimi nasema Kibaki na Uhuru wameongoza/wanaongoza funza. Familia ya Kibaki imefanya biashara ya dawa za kulevya huku wako Ikulu kupitia mkewe Mary Wambui na binti yake Winnie Wangui Mwai.
Si ndio maana wakawaua kwa sumu Waziri wa Usalama wa Ndani Profesa George Saitoti na Naibu wake Orwa Ojode, ikiwa ni saa 48 tu kabla hawajaifumua familia ya Kibaki Bungeni kwa kuuza dawa za kulevya.
Uliza nani anamiliki sehemu kubwa ya ardhi ya Kenya? Uliza Uhuru anamiliki ardhi kiasi gani?
Ova
jamaa nampa big up mamamawigi abaki hukohuko.
mtakalia kufuta kauli tu wakati watu wanapiga hela, nyie ndo maiti wa siku nyingi kabisa..