Kuna aliyewahi kuwa Rais wa Kenya aliwahi kusema Viongozi wa Tanzania wanaongoza Maiti. mkuu huyu ni bwana JOMO KENYATA alimwambia mwalim nyerere 'WEWE UNASEMA NCHI YAKO INA AMANI?AMANI IPO KWA AJIL UNATAWALA MAKONDOO.
Nasita kuchangia sifa ambazo bado sijaziona, bado hajatolea maamuzi, vuta subira kwanza
Ndugai ni kama naye pia ana hasira na Serikali baada ya kutelekezwa hadi wagogo wakachinjwa kule kwao pamoja na kwamba alipiga kelele nyingi before. Alishaona upepo sio mzuri jimboni kwake, hivyo ni bora akasimamia ukweli.
Napatwa na hofu huyu ndugai akipewa mgao ataendelea kukomaa
Wadau amani iwe nanyi...hakika nafurahishwa na namna mh Ndugai anavyoliongoza bunge kwa kuruhusu mijadala na kupokea ushauri kutoka kwa wabunge ambao wamekuwa mwiba kuona kwamba muhimili wao umekuwa ukiingiliwa kwa kuifanya mahakama kuwa ni kichaka cha kuwaficha mafisadi wa nchi hii...
Tuungane pamoja kumpongeza naibu spika na tuwe na imani kwamba mbivu na mbichi za escrow zitafichuka ndani ya bunge hili.
Ni rais wa bunge la sadc..amekula shavu huko... anaishi afrika kusini.
Atakuwa ni spika huku pia ila vikao vikigongana atamwachia naibu spika na wenyeviti wake kuongoza bunge... alikuwa anafanyiwa mchakato wa kuapishwa na kupata mafunzo kidogo ya uendeshaji wa bunge hilo.
Mahakama imetia aibu kwakweli. Wanaungana na serikali kuiba? majaji wanapokea mgawo tutarajie nini zaidi ya mambo ya ajabu ajabu kama haya
Kuna aliyewahi kuwa Rais wa Kenya aliwahi kusema Viongozi wa Tanzania wanaongoza Maiti. Wizi upo wazi kabisa ,lakini zinapigwa danadana.