Aisee hujamwibia rafiki yako kweli?Hatimae dogo kaukwaa umonita hongera kwake
Unaleta povu while Jukwaa ni la jokes/utani...kwa kweli sisi ndo watanzania, habari za umonita unaleta huku mamilioni ya watu wanakuja kutafuta habari za msingi ila daaaah unaleta za umonita. uhuru ukizidi unakuwa upumbavuu
Poa nambieMambo!
Huyu Dogo atakuwa kada aliyegombea akashindwa kwenye kura za maoni sasa kakumbukwa hongera kwakeSafi dogo kaula.
Endeleeni kumtia moyo atafika mbali
teh teh teh...Heeh mbona sijaona bandiko lenye saini ya Msigwa?!
Nano kamteua kwani?