masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,408
- 14,113
Nikitazama tamasha la Samia Kalamu Award, mwandishi na mtandazaji wa Mbeya Highlands FM , ndh Issakwisa Mbyale, amepata tuzo kitaifa.
Toka naifahamu Radio hii imekuwa ya mfano kwa mikoa ya Mbeya na mikoa jirani.
Nikiwa natoka Mbeya nawapongeza sana Mbeya Highlands FM kwa kuanza kuonyesha mafanikio kitaifa na kikanda.
NB
Sikusikia tuzo yoyote kwa redio mahiri za siku nyingi kama Clouds,RFA, Radio One.
Toka naifahamu Radio hii imekuwa ya mfano kwa mikoa ya Mbeya na mikoa jirani.
Nikiwa natoka Mbeya nawapongeza sana Mbeya Highlands FM kwa kuanza kuonyesha mafanikio kitaifa na kikanda.
NB
Sikusikia tuzo yoyote kwa redio mahiri za siku nyingi kama Clouds,RFA, Radio One.