gillard
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 227
- 165
Duuh! mbona kafunikwa hivi? hata hasikiki yani hadi hiruma. ok tutampa ujumbe wa nyumba hapo singida mjini
Hivi wewe una matatizo gani mbona adabu imekupitia kushoto?
Kwa nini lakini watu wengine mnashinda humu kupotosha umma tu?
Hebu jaribu kuwa na busara basi kidogo kwenye post zako, kha!