rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
mkuu nakubaliana nawe, kwani katika uchaguzi wa 2010 nilitaraji dsm wangefanya mabadiliko ya msingi. Lakini cha ajabu wakawarudisha hata akina makongoro
mkuu na yule msanii wa jimbo la ilala eti walimrudisha
watu wa dar washwahili sana