Achana nao mkuu wagomee wasigomee hapa kazi tu.Je alikuwepo kwenye msiba wa polisi wetu? Vinginevyo sio vizuri kama hakuwa na dharura nyingine Rais wa nchi ndio huyu tukatae tukubali.Sasa tujitahidi kujenga hoja za msingi kumsaidia na pale anapokosea ni kumwambia
Samahani naongezea kususa ni tabia za kike mkuu na utamkimbiaje mwanaume mwenzako.Aaahhaa jamanii ...hatakama hakutaka kuonekana..mwishoo wake 2020 huyooo...wee kama mbungee hudhuriaa ujuee unaweka platfom ya kiungoziii....hayoo mambo ya kususia inamaana hujiamini kma mbungee....acheenii zenuu
Mburaaa,Wana Dar wanajielewaa vizur hata atoe nn hawaoni ndani, majumba karibu na reli yamebolewa,Chinga pale Karume wamefurushwa Kama nyau, mafisiem watapa ilala ndio kwaoKwa akili hizi, Dar inarudi CCM 2020, na tusisikie visingizio vya "tumeibiwa".
Na upinzani wana uhusiano mzuri na rais? Mheshimiwa rais ajapoteza kitu hata kama kubenea akuwepo kwenye hafla.Tafuta yaliyo tokea kwenye uzinduzi wa kinyerezi 2 na uzidunzi wa daraja la kigamboni.
Magufuli Hana mahusiano mazuri si na wapinzani tu bali hata wana ccm wenzake, nadhani hata nje ya siasa atakuwa hivyo.
Kubebea alienda kuaga marehemu Asikari 8 waliokufa kwa kafara za Daud BashiteKwa akili hizi, Dar inarudi CCM 2020, na tusisikie visingizio vya "tumeibiwa".
Inamaana hujui kaza za mbunge ktk jimbo? Au unazani kazi zao niku-sign posho tu....? Kwa akili hizi ndo maana wanasiasa wanatuburuza.Hivi matatizo ya jimbo hutatuliwa kwenye uzinduzi tuu? Wakati mwangine rais hatekelezi matatizo ya raia wake ehhh nijibuni hapo kwanza!
Na mimi naongezea moja ya tabia ya kike ni kuhongwa na kupenda magari mazuriSamahani naongezea kususa ni tabia za kike mkuu na utamkimbiaje mwanaume mwenzako.
Dar haitakaa irudi CCM hata wabunge wa UKAWA walale tu miaka 5,kila kitu mnataka mfanye nyinyi tu watu wakija na mawazo yao mazuri mnawaletea figisuKwa akili hizi, Dar inarudi CCM 2020, na tusisikie visingizio vya "tumeibiwa".
Ha ha ha ana taka kumusaidia mbunge badala ya kuwasaidia wananchi,kama shida ilikuwa ni kumusaidia mbunge siamufuate nyumbani kwake.na alikwenda mbali baada ya kuona kutokuwepo kwake aseme ooh nilitaka aje hapa aombe chochote anachotaka ili nimsaidie
Habari wanajamvi
Juzi kati wakati raisi wetu wa JMT akizindua hostel mpya za chuo kikuu,
Tulisikia kwa masikio yetu akimtafuta mbunge wa ubungo mh kubenea ili aje asalimie,
na alikwenda mbali baada ya kuona kutokuwepo kwake aseme ooh nilitaka aje hapa aombe chochote anachotaka ili nimsaidie
Kauli ya kujikosha haya mimi namsaidia mbunge jimbo ubungo lina matatizo ya maji,
labda nimpongeze mh kubenea kwa kupotezea ile ghafla maana inajulikana uwepo wake ingekuwa mbuzi wa kafara na kebehi ikiwezekana kuulizwa upinzani kama mbunge hostel mmechangia ngapi
Kama alivyodhalilishwa yule mbunge wa cuf kule kusini
Na ikumbukwe kuna siku mbunge alikwenda kuweka mambo sawa kiwanda cha urafiki matokeo yake tunayajua mkuu wa wilaya alifungua kesi ya kutukanwa bila ya msingi ili hali alikasirika tu uwepo wa mbunge
kwa hili la juzi nikupongeze
kinyelezi alishadhalilishwa mtu kwenye ufunguaji wa mitambo ya gesi
Zinduzi zote waachiwe wenyewe!
Kwani mh rais hajui matatizo ya wananchi mpaka aombwe na mbunge?huyo alikuwa anataka kutoa mipasho tu kwa Kubenea.Nadhani ulipashwa umpe hongera ya kuwa Mtu wa hovyo hovyo na siyo kumpongeza kwa kitendo cha Kipumbavu kabisa alichokifanya. Hivi ni nani aliyekuambia kuwa katika umati ule wa Watu wote pale UDSM katika Uzinduzi ule wa Magufuli Hostels wote wale walikuwa ni wana CCM tu na kwamba mule kulikuwa hakuna Watu wa CHADEMA au CUF au TLP au ACT? Yaani Kubenea kafanya jambo lisilo na afya Kidemokrasia halafu bado tu tena ' Hopeless Creatures ' wengine humu mnamsifia na kumuona Shujaa pasipo hata kupima madhara yake katika Jicho la Kimaendeleo yatakuwaje.
Acheni tu Wazungu watucheke na watudharau kwa Upumbavu wetu wa Kiasili wa sisi Waafrika.
Kwani mh rais hajui matatizo ya wananchi mpaka aombwe na mbunge?huyo alikuwa anataka kutoa mipasho tu kwa Kubenea.
Kwa hiyo mmeshakubali ninyi mizigo siyo?Tunaimani na dereva wa lori atatufikisha salama. Tushachoshwa na blabla. Hapa kazi tu!
Ni kweli jamaa angejitafutia kick kupitia wapinzan,kubenea is so smart
Upanue akili zaidi ndugu yangu. Mbunge kutokuwepo kwasababu za rais kuhusiana vibaya, Mimi naona ni kupoteza. Katika hili rais ndo tatizo.Na upinzani wana uhusiano mzuri na rais? Mheshimiwa rais ajapoteza kitu hata kama kubenea akuwepo kwenye hafla.