Hongera Kikwete kwa Kutuachia Profesa Assad

Hongera Kikwete kwa Kutuachia Profesa Assad

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Hakika Mzee Kikwete pamoja na kutuacha vibaya kwa kutusukumizia baadhi ya viongozi (kama wanavyo kiri wenyewe) ila kwa kutuachia CAG mkweli na mcha Mungu asiye na muda wa kujikomba ulicheza kama Pele.

Hivi asingekuwa Assad huu wizi tunsoambiwa ume originate from patakatifu nani angejua?
Ila sasa wana haha kumchangsnya arudi nyuma
 
Sawa
Hakika Mzee Kikwete pamoja na kutuacha vibaya kwa kutusukumizia baadhi ya viongozi (kama wanavyo kiri wenyewe) ila kwa kutuachia CAG mkweli na mcha Mungu asiye na muda wa kujikomba ulicheza kama Pele.
Hivi asingekuwa Assad huu wizi tunsoambiwa ume originate from patakatifu nani angejua?
Ila sasa wana haha kumchangsnya arudi nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi za mchakato huu, Kikwete alikuwa 'anatembea' na majina matatu 'mfukoni'. La Assad nakumbuka kulikuwa na mwana mama mmoja na wa tatu nimemsahau.

Wanazuoni tulipiga sana debe hapa jukwaani kumshawishi JK achomoke na Assad akatusikiliza. Nimetafuta sana uzi wa mchakato sijaupata.
 
Hakika Mzee Kikwete pamoja na kutuacha vibaya kwa kutusukumizia baadhi ya viongozi (kama wanavyo kiri wenyewe) ila kwa kutuachia CAG mkweli na mcha Mungu asiye na muda wa kujikomba ulicheza kama Pele.
Hivi asingekuwa Assad huu wizi tunsoambiwa ume originate from patakatifu nani angejua?
Ila sasa wana haha kumchangsnya arudi nyuma
Salute sana Mkuu...
Kweli jk ashukuriwe sana kwa kutuachia mtu kama CAG Prof Mussa Assad..
Ila kuna Viongozi wengine aliotuachia jk mfano Bashite yani ni bora angeondoka nao tu.
 
Tanzania flag-XXL-anim.gif

Mungu Mbariki Jakaaya Mrisho Kikwete. Muongezee Karama.
 
Enzi za mchakato huu, Kikwete alikuwa na majina matatu 'mfukoni'. La Assad nakumbuka kulikuwa na mwana mama mmoja na wa tatu nimemsahau.

Wanazuoni tulipiga sana debe hapa jukwaani kumshawishi JK achomoke na Assad akatusikiliza. Nimetafuta sana uzi wa mchakato sijaupata.
Michakato hii huwa ni siri sirini, aliyeleta majina alijuaje maana post zote za wakuu wenye security of tenure huwa hazotangazwi na kazi hizo haziombwi bali majina huwa shortlisted based on sifa na vigezo tena it just happened ...
P
 
Salute sana Mkuu...
Kweli jk ashukuriwe sana kwa kutuachia mtu kama CAG Prof Mussa Assad..
Ila kuna Viongozi wengine aliotuachia jk mfano Bashite yani ni bora angeondoka nao tu.
Bashite alimuacha Kinondoni na hakukuwa na impact yeyote, Shida ni hiki cheo cha naibu presidaa!
 
Hakika Mzee Kikwete pamoja na kutuacha vibaya kwa kutusukumizia baadhi ya viongozi (kama wanavyo kiri wenyewe) ila kwa kutuachia CAG mkweli na mcha Mungu asiye na muda wa kujikomba ulicheza kama Pele.
Hivi asingekuwa Assad ...
Watu wa kweli, waadilifu na wenye hofu ya Mungu kama GAG, Prof. Mussa Assad, huwa hawatakiwi katika serikali ambazo Mkuu mwenyewe ndiye anayeongoza kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni za matumizi ya fedha za umma kwa kufanya matumizi bila kuidhinishwa na bunge.

Ingekuwa position hiyo ya CAG haina security of tenure, Assad angeisha ngolewa siku nyingi na kosa lake ni moja tuu kuwa mkweli daima na muadilifu.

Niliwahi kuuliza humu

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums
P.
 
Watu wa kweli, waadilifu na wenye hofu ya Mungu kama GAG, Prof. Mussa Assad, huwa hawatakiwi katika serikali ambazo Mkuu mwenyewe ndiye anayeongoza kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni za matumizi ya fedha za umma kwa kufanya matumizi bila kuidhinishwa na bunge.

Ingekuwa position hiyo ya CAG haina security of tenure, Assad angeisha ngolewa siku nyingi na kosa lake ni moja tuu kuwa mkweli daima na muadilifu.

Niliwahi kuuliza humu

P.
Ukiamua kutwanga ukweli basi mkuu hiyo inaitwa "msumali kwa nyundo nigonge"
Ila kuna wakati ukipiga K Vant mbayo kuna kila dalili imekukataa bora rudi tuu kwa John mtembezi au JD tuu
 
Salute sana Mkuu...
Kweli jk ashukuriwe sana kwa kutuachia mtu kama CAG Prof Mussa Assad..
Ila kuna Viongozi wengine aliotuachia jk mfano Bashite yani ni bora angeondoka nao tu.
Wengine amewaachia ili mjifunze namna ya ku-deal na watu wa kila aina
 
Hakika Mzee Kikwete pamoja na kutuacha vibaya kwa kutusukumizia baadhi ya viongozi (kama wanavyo kiri wenyewe) ila kwa kutuachia CAG mkweli na mcha Mungu asiye na muda wa kujikomba ulicheza kama Pele.
Hivi asingekuwa Assad huu wizi tunsoambiwa ume originate from patakatifu nani angejua?
Ila sasa wana haha kumchangsnya arudi nyuma
Hahaha ....naona sikuhizi Kikwete mnamuita kwa adabu kweli ....yale majina ya mkwere, vasco da gama, n.k yamekufa ....siku hizi ni mzee Kikwete ...dah 🤣🤣🤣🤣

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi za mchakato huu, Kikwete alikuwa na majina matatu 'mfukoni'. La Assad nakumbuka kulikuwa na mwana mama mmoja na wa tatu nimemsahau.

Wanazuoni tulipiga sana debe hapa jukwaani kumshawishi JK achomoke na Assad akatusikiliza. Nimetafuta sana uzi wa mchakato sijaupata.
>>>Edmund Mndolwa!!!!!???
 
Back
Top Bottom