Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Hakika Mzee Kikwete pamoja na kutuacha vibaya kwa kutusukumizia baadhi ya viongozi (kama wanavyo kiri wenyewe) ila kwa kutuachia CAG mkweli na mcha Mungu asiye na muda wa kujikomba ulicheza kama Pele.
Hivi asingekuwa Assad huu wizi tunsoambiwa ume originate from patakatifu nani angejua?
Ila sasa wana haha kumchangsnya arudi nyuma
Hivi asingekuwa Assad huu wizi tunsoambiwa ume originate from patakatifu nani angejua?
Ila sasa wana haha kumchangsnya arudi nyuma