Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
I dont know how but uzi juu ya hii teuzi uliletwa hapa jukwaani kuwa JK 'anatembea na majina matatu mfukoni' kwa cheo cha CAG basi bila hiyana, tukachangia points kwenye ule uzi.Michakato hii huwa ni siri sirini, aliyeleta majina alijuaje maana post zote za wakuu wenye security of tenure huwa hazotangazwi na kazi hizo haziombwi bali majina huwa shortlisted based on sifa na vigezo tena it just happened ...
P