Watu wa kweli, waadilifu na wenye hofu ya Mungu kama GAG, Prof. Mussa Assad, huwa hawatakiwi katika serikali ambazo Mkuu mwenyewe ndiye anayeongoza kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni za matumizi ya fedha za umma kwa kufanya matumizi bila kuidhinishwa na bunge.
Ingekuwa position hiyo ya CAG haina security of tenure, Assad angeisha ngolewa siku nyingi na kosa lake ni moja tuu kuwa mkweli daima na muadilifu.
Niliwahi kuuliza humu
Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums
P.