Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,469
- 1,697
Ni kawaida nchi karibu zote ziliz endelea Zina Airport Hotels. Kuna abiria wakishuka kutoka kwenye ndege wanataka waende moja kwa moja hotelini kupumzi na sio kuwa maneuvered kwenye mitaa kama wanyama.Tatizo Moshi na Arusha Ni karibu mno .Shutttle zipo kibao hotel hapo unataka za Nini?