nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,448
- 2,305
- Thread starter
-
- #41
ccm huwa siwaamini kabisa , wana hila mbaya sana hawa watu. Ngoja tutaona mwisho wa hii movie.
Mi nilitarajia baada ya UKAWA kuondoka bungeni ingewachukua CCM less than an hour kupitisha rasimu yao. As long as wana rasimu yao tayari na wanakubaliana kwa 100% kuna haja gani ya kujadili tena
Serekali 3 zinawatesa sana wabunge wengine wanasema hayo ni mawazo ya Waryoba wengine pamoja na Waryoba wanasema kuwa hayo ni maoni ya wananchi.Ndani ya bunge hilohilo wapo wabunge waliolishana yamini kuwa wahakikishe rasimu ya katiba haipenyi ikiwa na maoni ya serekali 3.Wapo wanaopambana kuhakikisha rasimu ya katiba inapenya bungeni ikiwa na maoni ya serekali3 kwa vile wanaamini kuwa hayo ndiyo maoni ya wananchi.Katika hili wabunge walikuwa hawana sababu ya kurushiana maneno machafu kuimbiana tarabu kuongea maneno ya mipashomipasho kama watoto kitu ambacho kimewafanya wabunge wawe kituko mbele ya jamii.Kitu walichopaswa kukifanya kwa vile kuna wanaoamini kuwa serekali 3 ni mawazo ya Waryoba,Waryoba na baadhi ya wabunge wanasema kuwa hayo maoni ya serekali 3 yametoka kwa wananchi kwa vile rasimu inatakiwa irudi kwa wananchi ikapigiwe kura kuliko kuendelea kurumbana wanatakiwa waiache rasimu ya katiba ikiwa na maoni ya serekali3 ili mwananchi ambaye inaonekana kupakaziwa maoni ambayo hakuyatoa akayakatae hayo maoni kwa njia ya kura.
Tushikamane kama taifa kuwasihi viongozi wa ccm kurudisha imani kwa wanachi maana huku mtaani hali haiko shwari.
CCM wenyewe hawaaminiani wao kwa wao hukumsikia Ndugai akisema Sitta kashindwa kulisimamia bunge?
Sitta ameingia kikichwa kichwa kwenye mtego aliowekewa kummaliza kisiasa.
ukizungumzia serikali moja kwa wenzetu wa Zanzibar ni bora muungano ufe maana wazanzibar wote wanachotaka vyovyote itakavyokuwa seikali yao iwepo na nchi yao iwepo,kwa wazanzibari serikali mbili au tatu kwao sio tija ili mradi kuwe na serikali ya zanzibar hata serikali zikiwa kumi ili mradi kati ya hizo kumi kuna ya zanzibar tofauti na watanganyika ambao baadhi yetu hatuitaki serikali ya tanganyika yetu,wengi wa tanganyika ni mbumbumbu,hasa hasa wabunge wa ccmKinachonishangaza na hao CCM ni kwamba wana mashaka na takwimu za Judge Warioba, that is fine. Lakini kwa busara ya kawaida kama wana maahaka na takwimu, wangemuita Judge Warioba kwenye BMK ili kuzitolea ufafanuzi. Na kama angeshindwa kuwaondolea mashaka basi ndio wangekuwa na haki ya kuziponda. Lakini CCM hawataki kufanya hivyo! Guess why? Kuhusu misimamo ya makundi CCM v UKAWA, mimi ningeshauri kama CCM msimamo wao ni serikali 2 na UKAWA msimamo wao ni serikali 3, basi wengekubaliana NEUTRAL MUUNDO yaani SERIKALI 1. Hiyo ndiyo ingekuwa WIN WIN SITUATION for both CCM AND UKAWA
Mi nilitarajia baada ya UKAWA kuondoka bungeni ingewachukua CCM less than an hour kupitisha rasimu yao. As long as wana rasimu yao tayari na wanakubaliana kwa 100% kuna haja gani ya kujadili tena...