Wewe b7
Mmeishia darasa la ngapi nyie.
Amekupa Tsh ngapi?
Wewe b7
Amekupa Tsh ngapi?
Kweli mkuu. Gazeti la Tanzania Daima la tarehe 27 April, 2014 toleo # 3432 limeongozwa na taarifa kubwa ya 'Wastaafu wamteka JK. Yadaiwa ndio walimlazimisha amsaliti Jaji Warioba'. Swali la kujiuliza nchi hii ina Marais wangapi?Hataki tena! Nafikiri ni Katiba tu ndiyo ina wakwaza marais, vinginevyo wange ung'ang'ania urais kama kupe kwenye ngozi ya mnyama!
Mkuu unazungumzia wastafu gani mbona hata warioba ni mstafu,hata hivyo wapi warioba kasalitiwa kwa kipi kwanza tuacheni siasa nyepesi.Kweli mkuu. Gazeti la Tanzania Daima la tarehe 27 April, 2014 toleo # 3432 limeongozwa na taarifa kubwa ya 'Wastaafu wamteka JK. Yadaiwa ndio walimlazimisha amsaliti Jaji Warioba'. Swali la kujiuliza nchi hii ina Marais wangapi?
Wamewataja Marais na baadhi ya viongozi wastaafu (nahisi Sumaye), lakini kinachostaajabisha kwenye tume palikuwa na viongozi wastaafu tena wenye hashima kubwa sana waliotutumikia kwa uadilifu pengine kuliko hao waliomtisha JK.Mkuu unazungumzia wastafu gani mbona hata warioba ni mstafu,hata hivyo wapi warioba kasalitiwa kwa kipi kwanza tuacheni siasa nyepesi.