Hongera Hamphrey Mpolepole, umetufumbua macho vijana

Hongera Hamphrey Mpolepole, umetufumbua macho vijana

ligera

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
2,646
Reaction score
1,173
Kwa kweli nimefurahishwa na uwezo wake wa kujieleza pamoja na kujenga hoja,nilikuwa naangalia kipindi cha Joyce Kiria ambacho Hamphrey alikuwa mgeni.

Kimsingi ametufumbua macho alipokuwa anaelezea umuhimu wa uwepo wa mfumo wa serikali tatu ktk dunia ya sasa,tulikuwa vijana watatu tuliokuwa tukifuatilia mjadala huo wenzangu wawili ni waumini wa serikali mbili,lakini baada ya mjadala kwisha niliwasikia wakinong'onezana kwamba bwana Hamphrey amefanikiwa kuwashawishi kwamba serikali tatu ndio mfumo mnzuri.

Nilifurahi kwasababu ya kuongeza washirika wa serikali tatu.Najua wako wengi waliopandikizwa hisia hasi juu ya mfumo wa serikali tatu lakini mijadala kama hii ya hamphrey polepole hakika itawafumbua macho wengi katika kuhakikisha Tanganyika yetu iliyopata uhuru mwaka 1961 inarejeshwa mikononi mwetu ikiwa salama salmini.

Kwa kweli wakipatikana vijana wenye kujielewa kama bwana Hamphrey angalau mia na vijana tukaamua kuwafanyia fund raising kwa ajiri ya kuzunguka nchi nzima hata wazee ving'ang'anizi wangebadilika.
 
Hongera zake, magamba ndiyo hayaelewe...

Mpaka PM hajui kwa nini UKAWA wametoka na wanataka nini. Maccm ni mizigo nchi hii.

We need our Tanganyika
 
Kijana anapambanua sana mambo ambayo wengi haswa wale wasiopenda kusoma rasimu na kuelewa wanafaidi sana ila sasa wakija hapa Lumumba 7000 wakiongozwa na Lizaboni & Co utaona watakavyomshambulia

Kwa kweli nimefurahishwa na uwezo wake wa kujieleza pamoja na kujenga hoja,nilikuwa naangalia kipindi cha joyce kiria ambacho hamphrey alikuwa mgeni.kimsingi ametufumbua macho alipokuwa anaelezea umuhimu wa uwepo wa mfumo wa serikali tatu ktk dunia ya sasa,tulikuwa vijana watatu tuliokuwa tukifuatilia mjadala huo wenzangu wawili ni waumini wa serikali mbili,lakini baada ya mjadala kwisha niliwasikia wakinong'onezana kwamba bwana hamphrey amefanikiwa kuwashawishi kwamba serikali tatu ndio mfumo mnzuri.nilifurahi kwa sababu ya kuongeza washirika wa serikali tatu.najua wako wengi waliopandikizwa hisia hasi juu ya mfumo wa serikali tatu lakini mijadala kama hii ya hamphrey polepole hakika itawafumbua macho wengi katika kuhakikisha tanganyika yetu iliyopata uhuru mwaka 1961 inarejeshwa mikononi mwetu ikiwa salama salmini.kwa kweli wakipatikana vijana wenye kujielewa kama bwana hamphrey angalau mia na vijana tukaamua kuwafanyia fund raising kwa ajiri ya kuzunguka nchi nzima hata wazee ving'ang'anizi wangebadilika.
 
Hongera zake, magamba ndiyo hayaelewe...

Mpaka PM hajui kwa nini UKAWA wametoka na wanataka nini. Maccm ni mizigo nchi hii.

We need our Tanganyika

kama kuna kijana wa kitanganyika anayeikataa tanganyika yake basi wahenga hawakuwa wajinga waliposema mkataa kwao mtumwa.najivunia kuitwa mtanganyika jina langu la utotoni kuliko kuitwa mtazania jina la bandia.
 
Kijana anapambanua sana mambo ambayo wengi haswa wale wasiopenda kusoma rasimu na kuelewa wanafaidi sana ila sasa wakija hapa Lumumba 7000 wakiongozwa na Lizaboni & Co utaona watakavyomshambulia

mpaka unajisikia raha kuendelea kumsikiliza.hongera sana Mungu amwongezee hekima zaidi aendako
 
Shaka yangu kubwa juu ya huyu kijana adimu kabisa ktk umri wake ni kuhusu Yale yaliyo tendeka pale MABWEPANDE ccm hawapendi kabisa namna kijana anavyotoa elimu bule kabisa

Tafadhari sana Mpolepole chunga sana nyendo zako mkuu

BACK TANGANYIKA
 
Shaka yangu kubwa juu ya huyu kijana adimu kabisa ktk umri wake ni kuhusu Yale yaliyo tendeka pale MABWEPANDE ccm hawapendi kabisa namna kijana anavyotoa elimu bule kabisa

Tafadhari sana Mpolepole chunga sana nyendo zako mkuu

BACK TANGANYIKA

kwa jina la yesu navunja vunja nguvu zote za magamba zinazoweza kumdhuru na kuzitupa kuzimu puuuuu
 
Ni tumaini kubwa sana kwa vijana na watanzania! Ni mjenzi mzuri wa hoja!
 
Shaka yangu kubwa juu ya huyu kijana adimu kabisa ktk umri wake ni kuhusu Yale yaliyo tendeka pale MABWEPANDE ccm hawapendi kabisa namna kijana anavyotoa elimu bule kabisa

Tafadhari sana Mpolepole chunga sana nyendo zako mkuu

BACK TANGANYIKA


Hawa magamba sio wa kuwaamini kwani hata wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani ; siku hizi kwenye mikutano yao kila mmoja wao anaingia na chupa yake ya maji, wamekuwa wanyama!! WamemKolimba Prof. Mvungi mchana kweupe kwa sababu ya utetezi wake wa serikali 3!!
 
Shaka yangu kubwa juu ya huyu kijana adimu kabisa ktk umri wake ni kuhusu Yale yaliyo tendeka pale MABWEPANDE ccm hawapendi kabisa namna kijana anavyotoa elimu bule kabisa

Tafadhari sana Mpolepole chunga sana nyendo zako mkuu

BACK TANGANYIKA

Au yale ya Dr Mvungi,Mungu amwokoe na hila za mwovu shetwani huyu kijana kwani ni hazina ya Taifa.
 
Nakumbuka huyu jamaa alipata division IV au 0 form four pale Azania - siasa bana!
 
Nakumbuka huyu jamaa alipata division IV au 0 form four pale Azania - siasa bana!

Huo ni uongo kama alipata hiyo division Form four ,A-lavel alisoma benjamin mkapa sec school je aliendaje.he was my class mate alipata div 2.pamoja na kwamba alikuwa na harakati nyingi sana wakati anasoma kwa kifupi jamaa ni talented.
 
Umeongea vizuri lakini umekuja kuharibu hapo kwenye fund raising. yaani kila kukicha mnabuni namna kuponya tupo.
 
Huo ni uongo kama alipata hiyo division Form four ,A-lavel alisoma benjamin mkapa sec school je aliendaje.he was my class mate alipata div 2.pamoja na kwamba alikuwa na harakati nyingi sana wakati anasoma kwa kifupi jamaa ni talented.

poa mkuu - basi nadhani hiyo IV au 0 aliipata pale Benjamin Mkapa, nitakuwa nilichanganya kidogo -
 
Au yale ya Dr Mvungi,Mungu amwokoe na hila za mwovu shetwani huyu kijana kwani ni hazina ya Taifa.

Hakika mkuu nilikuwa nikimsikiluza siku moja kwenye mjadara wa katiba, Jamaa anaongea bwana acha kabisa, Yaani anapangilia maneno kwa kituo mpaka neno la mwisho unalisikia na kulielewa sawasawa na vile alivyotaka kuliwasilisha

Mwishoni kwa masikitiko makubwa nikaishia kujiuliza, hivi ni kwanini mtu kama huyu yuko mitaani then watu kama Warema eti ni ma AG? Sikupata jibu mpaka leo. Maana nikiangalia Elimu hawafanani,,Busara hawalingani Ukija kwenye upeo na ujengaji wa hoja ndo kabisa nisawa na umbali wa kutoka Dar kwenda Mwanza,hawakaribiani kabisaaa...

Long live Polepole thamani yako itakuja kuthaminishwa pindi Nchi hii itakapo kombolewa. Hustahili kabisa kuwepo mitaani unatakiwa kulisaidia taifa

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom