lufunyo
Member
- Oct 29, 2010
- 70
- 2
Hongera dada Halima kwa kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Kawe. Kwa jinsi nilivyokufahamu kwa muda mfupi ninahakika wananchi wa kawe hatajutia uamuzi wao. Nakutakia kila la kheri na pia umeonyesha mfano kwa watu wengine kuwa hakuna lisilowezekana kama ukithubutu.