Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Kwanini wadau weki wa ukawa ni wale waliofilisika kifikra? Make wasomi wengi walioko ukawa ni wale ambao maisha yamewashinda wameporomoka kama mlima mfano lipumba na Lwaitama ni miongoni mwa wasomi wasiokuwa na maana kwenye nchi hii.