The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,218
- 4,534
We jamaa chupi kweli, zaidi ya kuniona jamii forum hunijui kwa chochote hatma yangu unaijuaje? Ye mwenyewe anajiita konde boy sioni unaumia vp watu tukimuita mmakonde!Leo mnamuita mmakonde lakini kipindi yupp WCB alikuwa mungu mtu ama kwelu duniani wanafki ni wengi wengine wanafuata upepo tu hawaelewi hata hatma yao ni nini
We jamaa chupi kweli, zaidi ya kuniona jamii forum hunijui kwa chochote hatma yangu unaijuaje? Ye mwenyewe anajiita konde boy sioni unaumia vp watu tukimuita mmakonde!Leo mnamuita mmakonde lakini kipindi yupp WCB alikuwa mungu mtu ama kwelu duniani wanafki ni wengi wengine wanafuata upepo tu hawaelewi hata hatma yao ni nini
Feelings!Diamond bana, mbele ya camera anajifanya mtu mwema, nyuma ya pazia anawafitini na kuwaroga, huyu jamaa ni snitch
Chupi babaako we koloWe jamaa chupi kweli, zaidi ya kuniona jamii forum hunijui kwa chochote hatma yangu unaijuaje? Ye mwenyewe anajiita konde boy sioni unaumia vp watu tukimuita mmakonde!
Hayo ya nyuma ya pazia mbona hamuyasemi?Diamond bana, mbele ya camera anajifanya mtu mwema, nyuma ya pazia anawafitini na kuwaroga, huyu jamaa ni snitch
Haina haja. Yeye afanye yake na sio kuwatafuta watu ili aonekane mwema. Kwenye Press conference alisema "kuna wasanii weng watashiriki ila nmeambiwa nisiwataje majina,tena meneja babutale kaniambia hadi Ali Kiba anataka kushiriki". Sasa wasanii hukutaja majina,huyo mwingine unamataja wanini kama sio unafiki tu?!Hayo ya nyuma ya pazia mbona hamuyasemi?
kijana hebu punguza uongo uende mbinguni, press niliangalia kupitia wasafi tv hakuna sehemu diamond alisema hivoHaina haja. Yeye afanye yake na sio kuwatafuta watu ili aonekane mwema. Kwenye Press conference alisema "kuna wasanii weng watashiriki ila nmeambiwa nisiwataje majina,tena meneja babutale kaniambia hadi Ali Kiba anataka kushiriki". Sasa wasanii hukutaja majina,huyo mwingine unamataja wanini kama sio unafiki tu?!
😂😂😂😂Haina haja. Yeye afanye yake na sio kuwatafuta watu ili aonekane mwema. Kwenye Press conference alisema "kuna wasanii weng watashiriki ila nmeambiwa nisiwataje majina,tena meneja babutale kaniambia hadi Ali Kiba anataka kushiriki". Sasa wasanii hukutaja majina,huyo mwingine unamataja wanini kama sio unafiki tu?!
Duuuuuu
Heeee!!Povu la nini singo maza?
Na kwa bahati mbaya unatumia lugha yao hivyo na wewe unaoekana ni mmoja waoWaswahili Takataka Tupu nadhani ukiondoa wagogo, waswahili ndo watu ovyo kuwahi kuwepo nchi hii.
Yani kuna watu mkuu wanamuona Kama huyo jamaa hakoseagi ila jamaa ana roho mbaya kwa wasanii wenzake japokuwa kiba ana matatizo ykeUkitaka kumfahamu diamond vizuri, msikie kwa mtu wake ambae waliishi nae geto,ommy dimpoz...msikilize ukiwa umetulia
Kuondoka harmonize, mavoko ....kuna rudisha hii tabia. Machoni kww watu he is good
Umewezaje kuyaona anayofanya nyuma ya pazia? Waswahili bhanaDiamond bana, mbele ya camera anajifanya mtu mwema, nyuma ya pazia anawafitini na kuwaroga, huyu jamaa ni snitch
Diamond bana, mbele ya camera anajifanya mtu mwema, nyuma ya pazia anawafitini na kuwaroga, huyu jamaa ni snitch
Licha ya kwamba ni burudani.pia ni biashara ile mkuu.Kama kweli anataka kuwasaidia wasanii wenzake na siyo kuwatumia kwanini hafanyi collabo nao mpaka aone faida kwanza.
Hata Kumshirikisha Msanii Kutoka Wasafi Chai Jaba Hataki Ila Yeye Akiwataka Wasanii Wengine Anafanya
Na Wasanii Wasiposhtuka Watatumika Sana