MAPOUDA
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 446
- 294
Ukiibiwa usiende polisi kaa kimyahao ukiwaambia kuna majambazi wanasubiri dakika za mwishoni ndo wanafika, kiukweli mimi najitosheleza kiulinzi.
Ukiibiwa usiende polisi kaa kimyahao ukiwaambia kuna majambazi wanasubiri dakika za mwishoni ndo wanafika, kiukweli mimi najitosheleza kiulinzi.
Mkuu hao askari ffu wametembeza kichapo kwa raia wema huko ukongaAskari wanalinda mali na usalama wa raia huku raia hawataki kuwaona askari.
Naenda Eritrea
Iliniskitisha sana aisee nlipoambiwaMkuu hao askari ffu wametembeza kichapo kwa raia wema huko ukonga
HahahahaJiongeze mkuu unataka kila kitu uletewe video yake? Kuna siku utakosaa kuamini kuwa mzazi wako sio halisi hadi uletewe video siku anakuzàa umuone
NdioUna ushahidi?
Hakuwa na taarifa sahihi... hata idadi ya siku mpaka siku anakwenda bado haambiwi kweli ulitegemea alale nyumbani kwake tu na aote kuwa Polisi wanapiga watu Ukonga na MombasaWatu wapigwe siku 2 mfululizo kama vile kijijini kusiko na serikali kumbe n Dar!!! Yuyo mkuu wa wilaya alikuwa wapi? Kwanini hakujitokeza kuwazuia wasipigwe?
Usiseme kuwa watanzania ni wajinga inaonekana kuwa wewe ndiye mjinga sio watanzania.~~~>>>Watanzania tu wajinga sana.... Huyo mama kaja kuwahadaa wananchi nanyi mmekubali .. Huo ni ulimbukeni.
To be honest askari akiuliwa arafu askari wake wa kambi kukaa kimya ni undezi MAANA WATAMUUA MMOJA BAADAE RAIA WATAWAUA 20 THEN 80 SO KICHAPO KINAJENGA NOTION NZURI KUWA HAWA WATU SIO WA MCHEZO MCHEZO
Tusubiri kusikia kamati kuu ya chama imemkemea .Kuna viongozi wachache wana akili na wanazitumia ipasavyo kama huyo..
Ila wengi ni ovyo kabisa..
KUDOS Mama DC.
Uongozi unahitaji sana busara na kipawa toka kwa Mungu hongera DC Sofia Mjema kutuliza umati mkubwa kama ule uliokuwa na hasira kali.