Ushindi Mzito wa zaidi ya 95% asilimia katika chaguzi ndogo ni ishara tosha kuwa CCM Halisi imedhamiria kukijenga chama katika ngazi ya matawi na mashina na hivi karibuni mapinduzi makubwa yatafanyika katika ngazi ya Taifa.
Hongereni wana CCM wote na Wananchi wote wapenda amani na maendeleo kwa kuifanya CCM mpya kuendelea kuwa Chaguo lenu la kwanza katika kuongoza dola na kuleta maendeleo.
CCM Halisi haijutii kupoteza au kushindwa katika kata za Udiwani za Daraja Mbili Arusha, Rombo,Mtibwa kwani Mafisadi wanaopigwa vita na CCM Halisi walisimamisha watu wao kwa malengo yao binafsi ikiwa ni pamoja na kukihujumu chama kwa mfumo wa kisayansi na kukipa maujiko chama pinzani cha chadema kwani wao lao ni moja. kwa maana hiyo tunapenda kuwapa pole wananchi wote wakata hizo kwa kuingizwa katika mitego ambayo hawakuigundua mapema.
CCM mpya na halisi itafika katika kata hizo na kufumua uongozi kuanzia ngazi ya shina na tawi na kutoa elimu ya siasa na maendeleo kwa wananchi hao.
Hongereni wana CCM wote na Wananchi wote wapenda amani na maendeleo kwa kuifanya CCM mpya kuendelea kuwa Chaguo lenu la kwanza katika kuongoza dola na kuleta maendeleo.
CCM Halisi haijutii kupoteza au kushindwa katika kata za Udiwani za Daraja Mbili Arusha, Rombo,Mtibwa kwani Mafisadi wanaopigwa vita na CCM Halisi walisimamisha watu wao kwa malengo yao binafsi ikiwa ni pamoja na kukihujumu chama kwa mfumo wa kisayansi na kukipa maujiko chama pinzani cha chadema kwani wao lao ni moja. kwa maana hiyo tunapenda kuwapa pole wananchi wote wakata hizo kwa kuingizwa katika mitego ambayo hawakuigundua mapema.
CCM mpya na halisi itafika katika kata hizo na kufumua uongozi kuanzia ngazi ya shina na tawi na kutoa elimu ya siasa na maendeleo kwa wananchi hao.