Naungana nawe mkuu, hongera sera safi za CCM.Kazeni buti ccm sasa tunangoja mradi wa mabus yaendayo kasi na daraja la kigamboni.... Najua wako watakao beza mafanikio haya kwani ni kawaida yao hata penye ukweli wanabisha tu
Kazeni buti ccm sasa tunangoja mradi wa mabus yaendayo kasi na daraja la kigamboni.... Najua wako watakao beza mafanikio haya kwani ni kawaida yao hata penye ukweli wanabisha tu
Naungana nawe mkuu, hongera sera safi za CCM.
hao wanaohara matusi watakuwa wa kwanza kutumia huduma hiyo!
Nenda kale kwanza uache kuota. Kinachofanyika siyo matunda ya CCM bali pesa ya watanzania. Hata wasingekuwa CCM hii miradi ingetekelezwa. Sana sana wanachoweza kufanya CCM ni kutujengea daraja substandard ili baadaye lituangamize. Hawa jamaa hawana hata chembe ya utu. Mungu wao ni pesa na dini yao ni tamaa huku visheni yao ikiwa ni upofu.Sibezi nasema ukweli.
shirikisha ubongo wako,fedha za mradi huu hazijatoka Lumumba.
Hivi hayo kwenu ni mafanikio???
Kweli kazi ipo.................. Sasa kama na watu humu JF mnasema hivi, sasa sijui inakuwaje kwa wale wenzetu ambao hat key board hawajawahi kuibonyeza??
Nenda kale kwanza uache kuota. Kinachofanyika siyo matunda ya CCM bali pesa ya watanzania. Hata wasingekuwa CCM hii miradi ingetekelezwa. Sana sana wanachoweza kufanya CCM ni kutujengea daraja substandard ili baadaye lituangamize. Hawa jamaa hawana hata chembe ya utu. Mungu wao ni pesa na dini yao ni tamaa huku visheni yao ikiwa ni upofu.Sibezi nasema ukweli.
Naungana nawe mkuu, hongera sera safi za CCM.
hao wanaohara matusi watakuwa wa kwanza kutumia huduma hiyo!
Kazeni buti ccm sasa tunangoja mradi wa mabus yaendayo kasi na daraja la kigamboni.... Najua wako watakao beza mafanikio haya kwani ni kawaida yao hata penye ukweli wanabisha tu
CCM ndio waliotoa pesa za ujenzi ?
Nisawa na kumsifu ng'ombe kubeba nundu yake!Kazeni buti ccm sasa tunangoja mradi wa mabus yaendayo kasi na daraja la kigamboni.... Najua wako watakao beza mafanikio haya kwani ni kawaida yao hata penye ukweli wanabisha tu
Mbona hujawapongeza kwa kuiua reli iendayo Moshi na arusha? Acha ushabiki wa kutokutumia akili.Kazeni buti ccm sasa tunangoja mradi wa mabus yaendayo kasi na daraja la kigamboni.... Najua wako watakao beza mafanikio haya kwani ni kawaida yao hata penye ukweli wanabisha tu