The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Kwa John Pombe Magufuli (CCM) angekuwa "disqualified" kuwa kiongozi tangu wakati wa kampeni zake kwa sababu kampeni yake kwa zaidi 50% ilikuwa inakiuka maadili na kanuni za uchaguzi wa mwaka 2020...!
Ukija kwenye uchaguzi wenyewe, ndiyo usiseme kabisa. Matokeo yote ni uongo na udanganyifu...
Honestly, wapiga kura wote, wananchi wote hamasa yao, ndoto zao, matamanio yao na morali yao iligeuzwa kuwa ujinga na uwendawazimu na utawala wa Magufuli na CCM...!
This is too bad and there are must be some serious consequences for some people to face sooner or later...
Kwa, Hussein Mwinyi angefungwa na rigging & fraudulent za mchakato mzima wa uchaguzi..
Kwa kifupi kabisa hawa wote HAWAKUSHINDA UCHAGUZI HUU. Wamejiweka wenyewe kwa kutumia maguvu tu ya jeshi na polisi. Hakukuwa na uchaguzi...
Laiti kungekuwa na "room" ya kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Urais katika uchaguzi huu na mahakama zikawa "free" kufanya kazi yake ya utoaji haki, kesi hii ingeishia masjala tu na kuamuriwa..
Ni kwa sababu ushahidi wa kuthibitisha haya ni Mkubwa na uko wazi mno...!
Ukija kwenye uchaguzi wenyewe, ndiyo usiseme kabisa. Matokeo yote ni uongo na udanganyifu...
Honestly, wapiga kura wote, wananchi wote hamasa yao, ndoto zao, matamanio yao na morali yao iligeuzwa kuwa ujinga na uwendawazimu na utawala wa Magufuli na CCM...!
This is too bad and there are must be some serious consequences for some people to face sooner or later...
Kwa, Hussein Mwinyi angefungwa na rigging & fraudulent za mchakato mzima wa uchaguzi..
Kwa kifupi kabisa hawa wote HAWAKUSHINDA UCHAGUZI HUU. Wamejiweka wenyewe kwa kutumia maguvu tu ya jeshi na polisi. Hakukuwa na uchaguzi...
Laiti kungekuwa na "room" ya kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Urais katika uchaguzi huu na mahakama zikawa "free" kufanya kazi yake ya utoaji haki, kesi hii ingeishia masjala tu na kuamuriwa..
Ni kwa sababu ushahidi wa kuthibitisha haya ni Mkubwa na uko wazi mno...!