MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
-
- #101
Hakuna Mapenzi siku hizi kudanganyana kwiiiingiiiiii Love ni msemo tu kama misemo mingine lakini si watu wanamaanisha mtu anakwambia "I Love you so much DA" akigeuka "I Love you so much MJ1" wapi na wappi..............
MJ1 usitegemee sana vile wewe unavyompenda Asprin (mfano) ndivyo yeye anavyokupenda
lakini hapa babu vise versa pia ni true, siyo? nina maana hata nyie huko nje mnatumiwa tu kama kijiko cha mama ntilie...............ha ha haaaaaaa (usinichape babu)
Aksante sana Da Kaunga kwa post hii nimejifunza mambo mawili, desparate na expectations. However inaniwia ngumu kidogo kuelewa katika situation nyinginezo. Mfano, umempata mtu ambaye mmekaa kwa muda mkakubaliana kuwa wapenzi, kisha ghafla been vuu mahali ambapo ndio kwanza matumaini yanaanza kukujia na wewe unaanza kuisimika trust kwake then vruuuuu anakutenda. Sasa hapo udesparate na expectations vinaingiaje? Au mie ndo sijakuelewa
lakini hapa babu vise versa pia ni true, siyo? nina maana hata nyie huko nje mnatumiwa tu kama kijiko cha mama ntilie...............ha ha haaaaaaa (usinichape babu)
ha haaaaaaaaaaaaaa, shikamoo BABU DC. nimependa kuwa na nyie mnajua mnatumika, lol! sasa kwa nini msijiachie tu?Hahahahahahhahahah,
Hiyo ni lazima FP,
Unadhani mikono ikifulia mche wa sabuni na kuumaliza itabaki salama bila kuumia??
Both way ni sawa....Ukitumia lazima na wewe utatumika tu!!
Babu DC!!
DA aksante sana kwa post yako hahah ngoja Asprin aje hapa anipe ruhsa Mjukuu wake Mtiifu hahahah
umeona eeeeh! kuna uncle wangu alikuwa na mipango ya kando kibao............ cha ajabu hakuna suruali ilikuwa inafuliwa nje.................... lakini wa siku hizi wanafua wanapotaka kukukomoa usirudi home..................... nasikiwa huwa wanaloweka nguo makusudi, lolMpango wa kando kazi yake matumizi tu hakuna kulea watoto wala kufua shati na suruali za mzee
Hii post inasikitisha, hasa pale unamuita mwenzi wako haramia. Mimi siamini kama kuna maharamia wa mapenzi hata kidogo. Tuangalia sana vyanzo vinavyoweza kumfanya mtu kuwa haramia, mwizi etc. Wake kwa waume tumeyafanya mapenzi kuwa kama comedy fulani hivi, kitu ambacho kinatupelekea kuwa desperate na kutoaminiana.
Kwa mtazamo wangu, mapenzi ni matamu sana, ila ukiamua kwa hiari yako mwenyewe yanaweza kuwa machungu. Mapenzi siyo ya lazima ila ni muhimu, unaposema siyo lazima uwe na mpenzi au kuwa kwenye penzi nahisi unajinyima haki ya msingi. Tuangalie vitu muhimu vya kukuza penzi, mapungufu yarekebishwe uone kama kutakuwa na haramia wa mapenzi hata mmoja.
Pia tujenge ustaarabu wa kusahau mabaya na kukumbuka mazuri, nafikiri humtendei mtu anayekuelezea upendo wake kwako na kumfananisha na aliyepita kwa ubaya. Forgive and forget. Wanawake tuwaombee waume zetu kwa bidii.
umeona eeeeh! kuna uncle wangu alikuwa na mipango ya kando kibao............ cha ajabu hakuna suruali ilikuwa inafuliwa nje.................... lakini wa siku hizi wanafua wanapotaka kukukomoa usirudi home..................... nasikiwa huwa wanaloweka nguo makusudi, lol
Babu DC nakuelewa sana ila naomba nikuulize, unaposema hakuna mapenzi nje ya Bibi una maanisha nini? Kwamba hakuna kwa sababu umemuoa yeye au kwa sababu unampenda? Kwa sababu kama ni kwa kuwa umemwoa then kumbuka kuwa hata nyie mlianzia katika mahusiano (ambayo kwa maoni ya mwengi hapa ndio ambayo yako prone to kudanganyana)Naona sasa wewe unaanza uchokozi....
Kwa ufupi, nje ya Bibi DC kunaweza kuwa na ngono + ujinga ujinga na kachumbari za uongo na ukweli. Ila naomba kusisitiza hapa (underlined and bolded)...HAKUNA MAPENZI NJE YA BIBI ila kunaweza kuwa na upendo kwa binadamu wenzangu, watoto wangu, ndugu na marafiki!!
Umeelewa FP??
Next time usimchokonoe Babu, sawa?
Babu DC!!
Aksante sana Da Kaunga kwa post hii nimejifunza mambo mawili, desparate na expectations. However inaniwia ngumu kidogo kuelewa katika situation nyinginezo. Mfano, umempata mtu ambaye mmekaa kwa muda mkakubaliana kuwa wapenzi, kisha ghafla been vuu mahali ambapo ndio kwanza matumaini yanaanza kukujia na wewe unaanza kuisimika trust kwake then vruuuuu anakutenda. Sasa hapo udesparate na expectations vinaingiaje? Au mie ndo sijakuelewa
Mzee DC (Ulikataa jina la Babu wakati wa Babu wa Loliondo) Haya mapenzi anayozungumzia MJ1 hapa naona ni kujiumiza hivi kweli kwa zama hizi kuna mtu anampenda mwenzie kwa dhati hilo halipoooooooooo!!!! Kataa ukubali huo ndo ukweli...
MJ1 anazungumzia kuumizwa (I guess) maana yaweza kuwa kampenda mtu kwa dhati na jamaa kaonyesha mapenzi kweli kweli akaja kumtenda sio kuambiwa live.....roho imemuuma zaidi.......................Mie siku hizi kiukweli sina mapenzi nina upendo tuu tena roho yangu na ubongo wangu havishirikiani kabisa kukomaa kwa mtu na kuona ananipenda HAKUNA MAPENZI SIKU HIZI BANA
Hawa viumbe hasa miaka hii hawaaminiki kabisa mama angu,dunia inaelekea mwisho. Mtu anaweza kukujia na uongo na vishawishi vya kila aina ili tu akupate, akishakupata na wewe ndio unaanza eti kumuamini anakutoka bila hata kutegemea, Kama huwezi kukaa bila mpenzi inabidi utake usitake ujifunze kupenda nusu nusu mamito, maisha yenyewe mafupi haya
Sidhani kama hii ndivyo inavyotakiwa kuwa DA au ndo mambo ya Adaptation na mitigations haya?
Pili kutokana na definitions zilizotolewa na kina Babu Asprin juu ya Mapenzi na Upendo naona kama mnazidi kunichanganya!!
Na mwisho ni je ni sahihi kwetu sasa kuvaa ngozi za kondoo kwa wapenzi wetu? Kuwa ninakupenda na uamini ninakupenda kwa nje ilhali rohoni niko vuguvugu?? Kwa sababu kitendo cha kuwa vuguvugu inamaanisha unaishi kwa matumaini kuwa labda siku moja atanitenda so nami nijijengee shield kwa kinga???
Nadhani Kaunga amenielewesha kidogo, live life to the fullest, including kupenda kwa moyo wako wote (Lakini ukiwa tayari kukubali kuwa lolote laweza kutokea) si ndio maana ya kuwa part and parcel ya kupenda? au
Sidhani kama hii ndivyo inavyotakiwa kuwa DA au ndo mambo ya Adaptation na mitigations haya?
Pili kutokana na definitions zilizotolewa na kina Babu Asprin juu ya Mapenzi na Upendo naona kama mnazidi kunichanganya!!
Na mwisho ni je ni sahihi kwetu sasa kuvaa ngozi za kondoo kwa wapenzi wetu? Kuwa ninakupenda na uamini ninakupenda kwa nje ilhali rohoni niko vuguvugu?? Kwa sababu kitendo cha kuwa vuguvugu inamaanisha unaishi kwa matumaini kuwa labda siku moja atanitenda so nami nijijengee shield kwa kinga???
Nadhani Kaunga amenielewesha kidogo, live life to the fullest, including kupenda kwa moyo wako wote (Lakini ukiwa tayari kukubali kuwa lolote laweza kutokea) si ndio maana ya kuwa part and parcel ya kupenda? au
umeona eeeeh! kuna uncle wangu alikuwa na mipango ya kando kibao............ cha ajabu hakuna suruali ilikuwa inafuliwa nje.................... lakini wa siku hizi wanafua wanapotaka kukukomoa usirudi home..................... nasikiwa huwa wanaloweka nguo makusudi, lol
Maty aksante kwa post yako, so tunakubaliana kuna uwezekano wa mtu kuishi bila kupenda (Kimapenzi) na only pale anaposhindwa kuishi hivyo ndipo anapostahili kupenda kimachale (Ambayo kwangu natamani niitafutie jina lingine)
Sijui kama umenielewa sawa sawa kupenda kupo lakini siwezi nikajisemea eti na yeye ananipenda vile anavyonipenda mie nadhani (nina mazoea mapenzi yaliniisha siku nyinginilishatenda yakanichosha)
Hapa babu umenena MJI asipoelewa tena baaaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssss
ha haaaaaaaaaaaaaa, kama nakuona ulivyokuwa mpole...................Hii ilinikuta Chuda hii mbona nilimaliza wiki 2 huko huko nguo hazikauki.