Hon. Tundu Lissu on Hamza Kasongo hour

Hon. Tundu Lissu on Hamza Kasongo hour

CHADEMA haitashinda urais mwaka 2015. Msijipe matumaini ya uongo.

Nilipo changia Hapo nilitegemea kupata changamoto kutoka kwa watu Kama wewe ila kuweka kumbukumbu sawa nikiangalia kwenye hansad za bunge la kichwa changu nakumbuka Hata marehemu Gadaf alibisha Kama wewe na wenzio.
 
Weka ushahidi - namba ya leseni yake ya uwakili huko Arizona na kesi alizotoa uwakilishi. Halafu pia naweza kwenda hapa kuangalia kama alikuwemo kwenye orodha ya mawakili wenye leseni huko Arizona mwaka '97.

Kumbuka kwa Marekani ni rahisi sana kupata taarifa kama hizo....

Fanya hivyo. Ukikosa Utujulishe Pia.
 
Shida yetu sisi kwamba tulishanyweshwa maji ya bendera ya Vinana na Mangula!
ndo mana hata macho yetu hayasikiii wala masikio yetu hayaoni.
"watu wanapotea kwa kukosa maarifa" sasa Advocate Tundu Antipasi Lissu anakupa maarifa, mijitu inasema hana lolote. Huu ni upuuuzi mtupu.
Kwa kuwa tuu Tundu Lissu yuko Opposition, hata kama akiongea la maana na kuwafunza watu maarifa, watu bado hawatki.
Ninakumbuka wakati fulani bungeni alitoa hoja ya msingi sana kuhusu mfumo na muundo wa mabaraza ya mahakama kuwa wakuu wa wilaya wasiwe wajumbe wa haya mabaraza, na Mwana wa Mkulima Mizengo K.P.Pinda alimuunga mkono, hadi Speaker alimuita Mizengo mara mbilimbili kuhakiki, lakini wabuuunge wooote wa ccm walikataa kumuuunga mkono.
hata katika hili sitoshangaaaa kuona baadhi ya watu hawataki kukubali.
Zanzibar ni Nchi, ina serikali yake kamili, ina bunge lake kamili, ina dola yake kamili, ina KMKM ni nini?
Tanzania ni muunganiko wa nchi ngapi? Zitaje! kati yazo ipi hadi leo bado ipo?
 
lisu is more than a lawyer na ndo role model wang hababaishi katika hoja zake hata mzee wa fast jet(j.k), werema na lukuvi mzee wa kanuni ya 64 wanamjua vizur hata akina yakhee wa zanzibar wanajua
Huyo ndo role model wako ni kama wa 20 hv....kila la heri
 
Hv CDM kila mtu ni jembe hadi Shonza mulikuwa munamuita Jembe leo hii........Shibuda basi jembe langu
 
majembe akina Shonza, Habib, Mwampamba, Shibuda etc....ndo majembe ya kweli
 
Jf bhana kuna ni wakubwa lakini weupe.
mitusi kama mpo baa.
 
Tumuangalie jembe letu!anatema cheche juu ya mafanikio na mipango mkakati ya chama!KARIBUNI!

Jee, ameongelea mafanikio ya katibu mkuu kumjengea nyumba demu wake kwa kujichotea fedha za chama (za walipa kodi wa Tanzania na ujerumani)?
 
Nitakuuliza umejuaje....
Mkuu Nyani Ngabi. Sijaona lolote ambalo umesema ambalo linahusu Lissu kuwa katika kipindi au lolote ambalo amesema. Jaribu kufatilia alichosema na ujibu hoja kama unakubaliana na yeye au la. Kuwa USA siyo hoja wako wengi ambao hawawezi hata kurudi nyumbani kutembelea ndugu jamaa na marafiki.
 
Jee, ameongelea mafanikio ya katibu mkuu kumjengea nyumba demu wake kwa kujichotea fedha za chama (za walipa kodi wa Tanzania na ujerumani)?
Hoja yako inasaidia nini katika kutatua matatizo ya Watanzania wanaolia kila siku. Hata kama katibu wake amemjengea nyumba demu wake yeye hayuko serikalini au ndo nyie munaoamini matatizo ya Watanzania yanasaabishwa na wapinzani!
Kweli akili ya mtu anayependa CCM ni janga tu
 
Mi king'amuzi chenga tupu full mgando wa maziwa kingamuzi ukipeleka Kisarawe unaona local ukipeleka Kongowe unaona BBC sijui mradi wa rais huu?
 
Mbona watu tuko hapa Bongoland tunatengeneza pesa tu, juzi nimetoka kulitumia dogo langu pesa ya matumizi huko majuu.
 
Kuwa USA siyo hoja wako wengi ambao hawawezi hata kurudi nyumbani kutembelea ndugu jamaa na marafiki.

Simo kwenye hao wengi. Nimo kwenye wachache wanaoweza kuja Tanzania mara hata tatu kwa mwaka.
 
Mimi states nakula al bataar kivyangu na sina muda wa kujishughulisha kujua wala kujuana na wabongo.

Wewe unakula vumbi bongo nini?:becky:
tunajua unakula baata na makalio yanachakaa tuache na vumbi letu kusujudia vya mwanaume mwenzio ni ungee na utumwa vijana mnaolewa hivi hivi mngali watoto kweli dunia imekwisha mpaka upate maisha si utashindwa hata kukaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom