anasema, akijibu kuwa kama suala ni pesa, asingegombea ubunge, alisha wahi kuwa wakili ndani na nje ya nchi hasa marekani. pesa nyingi tu ameacha ka kazi yake ya uwakili kuja ufa na tanzania
Hana jipya.
Hmmm...alikuwa wakili Marekani? Jimbo gani? Lini?
Na ubunge wa Tanzania unalipa bana. Aache kutuzeveza huyo.
Unawafahamu watanzania wote kila jambo na kazi wanazozifanya huko Marekani? Yaani Watanzania Bwana!!!!!!!!!???????!!!!!?????
Siwajui na ndiyo maana nikauliza. Hukuona alama ya kuuliza katika nilichoandika?
Wewe unajua alikuwa ana practice law jimbo gani, lini, na kwenye area gani?
Mkuu umesikiliza madini aliyotema!?au umeamua kutumia kanununi yenu ya kuficha kichwa kwenye mchanga km mbuni
Unawafahamu watanzania wote kila jambo na kazi wanazozifanya huko Marekani? Yaani Watanzania Bwana!!!!!!!!!???????!!!!!?????
Kweli Miafrika ndivyo tulivyo, Yaani mime, wewe na miafrika mingine.
Hahaa kumbe humjuhi huyo? Huyo huwa anajifanya Balkozi huko Marekani kama anawajua watanzania wote.
Tundu ni Zaidi ya mumjuavyo anamiliki akili za vichwa 1000 vya ccm include fastjet. Nampenda sana lisu na anashabihiana na mtikila kihoja ni mabingwa wa kujenga hoja, kuisimamia, kuiwasilisha na kujibu hoja kwa hoja.Na ndieye Mwanasheria Mkuu wa serikali mwaka 2015 au kabla Hapo mark my words the dude he is genius
chama fulani kuanzisha hoja hakuzuia chama kingine kusisitiza hoja hiyo iwapo hoja hiyo ina faida kwa taifa
Lini na wapi huko Marekani Lissu ali practice sheria? Mbona hamjibu swali langu nyie....
Kwa mfano: Nikikwambia ni Arizona mwaka 1997 utasadiki?
Tumuangalie jembe letu!anatema cheche juu ya mafanikio na mipango mkakati ya chama!KARIBUNI!
Nitakuuliza umejuaje....
Wakati anafanya kazi jimbo hilo, mie pia nilukuwa Arizona wakati huo na ndo tulipofahamiana. Je utasadiki?