Hon. Tundu Lissu on Hamza Kasongo hour

Hon. Tundu Lissu on Hamza Kasongo hour

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Tumuangalie jembe letu!anatema cheche juu ya mafanikio na mipango mkakati ya chama!KARIBUNI!
 
Dear JF,
Tundu is talking now. Sunday (21:00pm) This evening.
 
Wakuu1

Wengine hatuna mawasiliana na hiyo TV. tafadhalini tuwekeeni live hapa jamvini wakuu.
 
Waitin for updates!kwangu channel ten hakunaga.
 
Anasema watanzania wanahitaji ukweli na sio kudanganywa!anasema tunadanganywa tanzania ni nchi moja wakati zanzibar nayo ni nchi yenye amiri jeshi mkuu
 
anasema, akijibu kuwa kama suala ni pesa, asingegombea ubunge, alisha wahi kuwa wakili ndani na nje ya nchi hasa marekani. pesa nyingi tu ameacha ka kazi yake ya uwakili kuja ufa na tanzania
 
Anasema watanzania wanahitaji ukweli na sio kudanganywa!anasema tunadanganywa tanzania ni nchi moja wakati zanzibar nayo ni nchi yenye amiri jeshi mkuu

kweli hana jipya.....ropokaaa sasa huyo sheni amiri jeshi wa jeshi gani?
 
lisu is more than a lawyer na ndo role model wang hababaishi katika hoja zake hata mzee wa fast jet(j.k), werema na lukuvi mzee wa kanuni ya 64 wanamjua vizur hata akina yakhee wa zanzibar wanajua
 
kweli hana jipya.....ropokaaa sasa huyo sheni amiri jeshi wa jeshi gani?

ungemsikiliza ungejua kama anaropoka ama vp!usianze kuandika tu uharo wakati katoa ufafanuzi wakutosha!
 
Anasema mwaka 2015 ni mwaka wa kufanya maamuzi magumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom