Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
- Thread starter
- #41
Itabidi niwafundishe wazazi wa huyu mtoto pamoja na mtoto wao njia hii.mahaitaji ya kutengeneza chawa
1. maji kidogo
2. karatasi jeupe amabalo halina maandishi yeyote
3 uchafu utokaomwilini
njinsi ya kufanya
1.chua maji na kisha upake kama mafuta kwenye mwili wako af sugua na utapata uchafu mweusi
2. chukua huo uchafu uuweke kwenye karasi jeupe
3. funga karatasi vizuri na uiweke sehemu yenye giza sana
4.fungua karatasi hilo baada siku saba
5. chawa watakuwepo wa kutosha na utatatua homework uliyonayo