Home Work hii imenitoa jasho....msaada!!

mahaitaji ya kutengeneza chawa

1. maji kidogo
2. karatasi jeupe amabalo halina maandishi yeyote
3 uchafu utokaomwilini

njinsi ya kufanya
1.chua maji na kisha upake kama mafuta kwenye mwili wako af sugua na utapata uchafu mweusi
2. chukua huo uchafu uuweke kwenye karasi jeupe
3. funga karatasi vizuri na uiweke sehemu yenye giza sana
4.fungua karatasi hilo baada siku saba
5. chawa watakuwepo wa kutosha na utatatua homework uliyonayo
Itabidi niwafundishe wazazi wa huyu mtoto pamoja na mtoto wao njia hii.
 
Mimi kilichonivutia kuliko voote ni kitendo cha wazazi kuona wewe ndio wafaa kutoa majibu ya hio homework....lol
Tehe tehe tehe eeh!! Hata mimi nilivyoambiwa nilibaki mdomo wazi kwa muda......
 
mara ya mwisho kuoga lini..labda mazingira yako ya kichafuchafu..kwann mtoto asiambiwe akamchunguze mbwa ana chawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom