Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
- Thread starter
-
- #121
Ehhee! Shughuli imepata mchezaji!
Goal 2009 nambieni msaada wenu........I am looking for Nice and Pretty girl namaanisha mzuri kweli kweli kila nikimuangalia nizidi kumtamani......
awe mrefu 5ft 6in cuz na mie mrefu sitaki awe andunje
......asiwe msomi saaana....asizidi degree moja(najua wanawake wasomi wana matatizo/wabishi ndani ya nyumba)......na prefer awe na diploma au degree moja.....isiwe degree za kigangwe kama MD,uinjinia,IT/comp,law,business najua wasichana warembo hawasomi madegree haya magumu magumu na hata kama alikuwa mrembo through ku kremu uzuri wake utapungua......nataka awe kasoma degree laini laini kama sociology,cookery,designs za nguo sio mitambo,lingustic,.....
......ajue kunyuka pamba.....sitaki mvaaji wa baibui nguo za vitenge
....awe anaringa mwenye mapozi na aibu mwenye sauti nyembamba na kila nikiongea nae aangalie pembeni au chini....sio awe mkakamavu naongea nae kanitumbulia macho bila uwoga....asiwe na manguvu meengi kama ya serena.....awe laini laini tu.......asiwe jasiri sio mwanamke anaona nyoka hata hakimbiii nataka hata akiwa anaangalia movie za kutisha ananirukia kwa kuogopa......
.......asiwe kibonge na kitambi.....i hate big momas as you know...nataka awe kipotabo kiuno chembamba,wezere liwepo but sio la kutisha liwe la wastani.......
.......asiwe mweusi saana awe na rangi kama ya Nailah Thorbourne
...awe na uso mwembamba,sitaki awe mvaa mawigi na awe na nywele ndefu kasuka zig zag.....
....asijue kila kitu....afahamu mambo yatakayo ni-intertain mie...sio ajue siasa sijui uchumi na mazaga zaga mengine ya kuumiza kichwa...huyo sio type yangu
.....ajue kupika
.......Nataka pia awe clubin girl ili tuweze kuendana na ajue kucheza ruggamufin ........asipende taarabu sipendi mipasho ya kusutana sutana.......
........sitaki mvuta fegi wala mnywa pombe au kicheche....
Hizo ni baadhi ya sifa za nimtakae....imeandikwa aombae atapewa...nami ninaomba......najua type za galz nijnaowataka hawaji JF kama unamjua ndugu yako,classmate wako au hata ur neighbour just hook me up.I'll appreciate any assistance.
Point!...
I think itakuwa good idea akiambatanisha picha yake na discription pia like and dislikes..
Umesahau kujielezea wewe ukoje?? Anyway Good luck
vipi vigezo unavyo?Nakushauri hii uifungulie thread yake maalum ili wakusaidie hata wale walio nje ya thread hii. After all, heading ya thread hii ipo tofauti na matakwa yako. Ukibuni heading nzuri, nategemea utapata majibu lukuki.
kwa sababu za privacy siwezi kuweka picha yangu JF tukubaliane kwa hilo.....pilidescption zangu niko wazi kuziweka kwa atakaejitokeza kwa PM lakini.....ukiangalia kwa makini u can jua descption zangu...
vipi vigezo unavyo?
Ubovu wenye hii sio boxing na wengine hatuzimii michezo yenu ya ki-gladiator, hivi mtu gani alostaarabika bado anafagilia huo mchezo!?
Ok...upande mwingine ni kuwa kama unaona nimekosea, basi niripoti kwa Mods wanichukulie hatua......
Asie na sense of humor ni wewe hapo unaendandia maneno usoyajua.....ni tabia za jikoni wakati wanaonja chumvi!
Usiku mwema na usikasirike!! LOL.
Nakushauri hii uifungulie thread yake maalum ili wakusaidie hata wale walio nje ya thread hii. After all, heading ya thread hii ipo tofauti na matakwa yako. Ukibuni heading nzuri, nategemea utapata majibu lukuki.
Mkuu,
In that and other marriage issues, there are two things to decide, na vyote haviendi pamoja. You can decide to be HAPPY and forego being RIGHT. If you want to be RIGHT (kifanyike unachotaka) then forget being HAPPY. If you decide to be HAPPY (enjoy your familly) then forget about being RIGHT. yaani forget about what you want it to be.
I think that works in most cases. Me i would choose to be HAPPY and enjoy my Beer!
mkuu muulize huyo alie quoate katoa wapi maandishi yangu....?Yo Yo anahitaji mke tailor made kama ulivyokuwa quoted hapa. Kumbuka hakuna aliyekamilika.
Unaonyesha bado ni kijana mdogo sana, hujawa mature enough kuoa.
Tulia, subiri akili yako ikomae ndipo utakapogundua kuwa hakuna mke wa sifa na vigezo vyote unayotaka, asiye na hili ana lile.
Nipe mkeo ndio utajua iam immature au nina akili za kitoto.....Unaonyesha bado ni kijana mdogo sana, hujawa mature enough kuoa.
Tulia, subiri akili yako ikomae ndipo utakapogundua kuwa hakuna mke wa sifa na vigezo vyote unayotaka, asiye na hili ana lile.
Nipe mkeo ndio utajua iam immature au nina akili za kitoto.....
Shem hii haina maslahi kwa taifa....calm down!
si unajua tena kachoka na madildo......Ebooo! Unataka kumfanya nini mke wa watu!? LOL
LOL!.Inakuwaje ni shem wako alafu anatafuta demu mwingine tena?..how does it come come!...-
Hebu washawishi walioko majuu wafikirie kurudi bongo.......vitu gani vinavutia? biashara ya kuwaambia warudi koma kabisa......home kitu gani waache wale raha majuu....kwanza wakija wataongeza competition.....Karibuni Home Bongo
Mzunguko......tuliopita madrasa ndio tunaweza......nyama ipo upande gani.......
pilau juzi mtaani......Hii ni pilau au biriani?....with tandori chicken?