Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 97
Hapa natokwa na mate kabisa kwa kuangalia nyama choma...yaani nakumbukia manyanya them days..nyama choma with ndizi za kuchoma huku unashushia na soda ya fanta lol!..uuuuuuuuuuuwiii..au pale kinondoni juu,chips kwa jimmy plus chachandu...duuh yani i miss nyama choma yaani ni mbuzi kwa kwenda mbele....
do you remember that>?!
Hapa natokwa na mate kabisa kwa kuangalia nyama choma...yaani nakumbukia manyanya them days..nyama choma with ndizi za kuchoma huku unashushia na soda ya fanta lol!..uuuuuuuuuuuwiii..au pale kinondoni juu,chips kwa jimmy plus chachandu...duuh yani i miss nyama choma yaani ni mbuzi kwa kwenda mbele....
do you remember that>?!
Mmhh jamani nami natamani, na zile fanta za bongo ni the best, sijui sababu lkn siwahi kunywa fanta tamu kama za tz. Makuku ya huku , yaani unakula tuu lkn ladha hayana kama wale wa kienyeji wa tz
Mmhh jamani nami natamani, na zile fanta za bongo ni the best, sijui sababu lkn siwahi kunywa fanta tamu kama za tz. Makuku ya huku , yaani unakula tuu lkn ladha hayana kama wale wa kienyeji wa tz
Violet,
Yaani supu kuku wa kinyeji yaani ni tam hata unaweza kujing'ata ulimi ndugu!!!
We acha tu!
Hapa natokwa na mate kabisa kwa kuangalia nyama choma...yaani nakumbukia manyanya them days..nyama choma with ndizi za kuchoma huku unashushia na soda ya fanta lol!..uuuuuuuuuuuwiii..au pale kinondoni juu,chips kwa jimmy plus chachandu...duuh yani i miss nyama choma yaani ni mbuzi kwa kwenda mbele....
do you remember that>?!
ndio maana kely01 una kitambi....
Lol shemeji umenikumbusha mbali sana,nyama ni moja wapo ya starehe zetu bhaguku,hope bradha kakueleza vi2 2navyovipenda sie akina Ngosha,maana sie starehe zetu ni 3: Walwa(Lwalwa),Inyama na Ny..(Lol)..Ngosha NN ulihale?????,Wapi Masanilo
ndio maana kely01 una kitambi....
Naleho nkoi...
U Masanilo ujaga gung'wa walwa....lol
Hapa natokwa na mate kabisa kwa kuangalia nyama choma...yaani nakumbukia manyanya them days..nyama choma with ndizi za kuchoma huku unashushia na soda ya fanta lol!..uuuuuuuuuuuwiii..au pale kinondoni juu,chips kwa jimmy plus chachandu...duuh yani i miss nyama choma yaani ni mbuzi kwa kwenda mbele....
do you remember that>?!
Hapa natokwa na mate kabisa kwa kuangalia nyama choma...yaani nakumbukia manyanya them days..nyama choma with ndizi za kuchoma huku unashushia na soda ya fanta lol!..uuuuuuuuuuuwiii..au pale kinondoni juu,chips kwa jimmy plus chachandu...duuh yani i miss nyama choma yaani ni mbuzi kwa kwenda mbele....
do you remember that>?!
... Urojo, pweza, kaa, pweza, chaza, zanzibar Pizza huku unashushia taratiiibu kwa Juice ya miwa ilhali wapepewa na upepo mwanana wa pwani ya 'foro', na Ras Nungwi kwa mbaali inakata mawimbi... Loh!
... Urojo, pweza, kaa, pweza, chaza, zanzibar Pizza huku unashushia taratiiibu kwa Juice ya miwa ilhali wapepewa na upepo mwanana wa pwani ya 'foro', na Ras Nungwi kwa mbaali inakata mawimbi... Loh!
Kwa vile wewe umeshindwa kupata demu ki portable basi umeamua kusagia sagia wa wenzio...wewe endelea tu na Usoja Boy wako...yuuuuuuuuuuuuuuuuuu