mimi ni miongoni mwa wasailiwa wa chuo cha hombolo naulizia je hombolo hajafunguka maana nina interview tarehe 28 na 31 mwezi huu sehemu nyingine lengo na nia ni kwamba kama hombolo wamenipatia maisha niwaachie wanaj4 wengine waende wakajaribu bahati yao, but to me i can say that an interview was fair so let put all duah to ALLAH.