Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Homa imenizidia mie,
kutwa nashinda nalia,
jua linapochomoza machozi mie hunitoka
kisa alichonitenda $Rejao, sitakisahau kamwe,
amenishawishi nimuache mpenzi wangu ili nikaishi naye,
nimeachwa na mpenzi wangu, nimekwenda kwa $Rejao, baada ya muda si mrefu asema niondoke sina tabia nzuri ooh………………. X2
Maama yamenikutaaa, maama yamenikutaaa …………x2
....Ndugu zangu mlio na wapenzi, jihadhari na wadanganyifu mkaachana na wapenzi wenu mtapotea………
Maama yamenikutaaa, maama yamenikutaaa …………x2
.....Nimesimama katikati ya njia panda, jua linazidi kuzama…… maaama mamamaaaa……………
*******************************************
Nimemkumbuka Anti yangu, aupenda sana huu wimbo wa Mlimani Park
kutwa nashinda nalia,
jua linapochomoza machozi mie hunitoka
kisa alichonitenda $Rejao, sitakisahau kamwe,
amenishawishi nimuache mpenzi wangu ili nikaishi naye,
nimeachwa na mpenzi wangu, nimekwenda kwa $Rejao, baada ya muda si mrefu asema niondoke sina tabia nzuri ooh………………. X2
Maama yamenikutaaa, maama yamenikutaaa …………x2
....Ndugu zangu mlio na wapenzi, jihadhari na wadanganyifu mkaachana na wapenzi wenu mtapotea………
Maama yamenikutaaa, maama yamenikutaaa …………x2
.....Nimesimama katikati ya njia panda, jua linazidi kuzama…… maaama mamamaaaa……………
*******************************************
Nimemkumbuka Anti yangu, aupenda sana huu wimbo wa Mlimani Park