Una hoja wewe.Ni mtazamo wako... what about the recognition of the crime? mi nadhani wenyewe wameanza healing process baada ya kuommbwa msamaha. sisi je? huoni kama psychologically na statutory tunahitaji recognition pia?
Ni mtazamo wako... what about the recognition of the crime? mi nadhani wenyewe wameanza healing process baada ya kuommbwa msamaha. sisi je? huoni kama psychologically na statutory tunahitaji recognition pia?
Kama mnazungumzia aftermath ni kweli Jews wanaonekana kupewa kipaumbele zaidi, lakini ni pengine holocaust imetokea karibuni zaidi na lengo ilikuwa kuwafuta katika uso wa dunia, pia miifumo ya kiutawala ilikua imeisha jijenga vizuri tofauti na enzi za utumwa,Una hoja wewe.
And what the truth is?Holocaust is hoax, fabrication and total lie
Very well said Dada,very very well said!Ntakuwa nazitafuta posts zako nizisome.Umenisuuza moyo wangu!Lol!I think the Holocaust lasted for a decade (at the most) and that the recognition of their suffering came fast and today the international community (particularly the European countries) are still paying the price of their idleness during the period. Na ndio maana Israel can do whatever they want, in the name of "preventing them selves from a new Holocaust". It is a bit what the current Rwandese government is trying to do for the Tutsies.
Kumbuka pia kuna other people who went in those camps zaidi ya Jews, kama Jehovah witness, homosexuals, blacks, other semits like Arabs etc, ila havisemwi sana to maximize the guilt of other nations. It happened in few countries (I think 2 or 3), during war time when all actors had something else in mind.
On the other hand slavery wend on for centuries and has still not been officially recognized, no compensation has ever been paid and even the descendants of the slaves were not given a "special treatment" to facilitate their integration in a society dominated by the descendants of their oppressors who had already good wealth, education and other tools to survive and succeed in a capitalist word. this happened in two continents, everywhere, and was backed by the law, in peaceful and war time.
Kwa mtazamo wangu the slavery was a greater crime, ingawa hii nayo sio ndogo. I have seen the movie (Schindler's list) and was touched by the scene with the little girl who had a red dress... I hate it when little girls suffer, you know what I mean 🙂
Asante sana. Kama sikosei nadhani tulisha kutana katika post ilikua inahusu politics and religion, kama sio hiyo basi ni kule wall street protest. I also liked your approach. asante kwa kuni-encourage, kumbe kuna watu wanasoma kweli, ngoja niache ujinga aisee... lolVery well said Dada,very very well said!Ntakuwa nazitafuta posts zako nizisome.Umenisuuza moyo wangu!Lol!
Unasomwa tu Dada.I will be your follower,not like tweeter tho!Lol!But yea,on a serious note.Tunafuatilia wengi wetu.Nimeipenda sana analysis yako.So i like the way you think,and also your eloquency,if i may.Asante sana. Kama sikosei nadhani tulisha kutana katika post ilikua inahusu politics and religion, kama sio hiyo basi ni kule wall street protest. I also liked your approach. asante kwa kuni-encourage, kumbe kuna watu wanasoma kweli, ngoja niache ujinga aisee... lol
So long as Steven Spielberg hajatoa movie, generation ya leo haita jua hivyo vitu. Kila kitu kimekua entertainement, hawataki kusoma kabisa!Kuna watu wanadhani kupitia MIDDLE PASSAGE kuelekea UTUMWANI ilikuwa mchezo wa kuigiza!
Hebu sikiliza hii Johnny Nash- Chain Gang - YouTube
Ofcoz they were both worse incidents in human history. The slavery went on much longer, and probably more people were enslaved than died in the holocaust.
However, at least the slavers were not trying to eliminate the black race. They enslaved some black people, but they didn't want to kill them, ilikuwa ni kwa faida yao to keep them alive.
It was a horrible thing to do, but slaves did not experience the horror of being puting on those consentration camps that can killed 10 thousand Jews in one day. They also starved, were burned alive, were victims of crazy test medical experiment, gassed, shot, raped,march to death and the list goes on,
Some slaves were better treated than others, and although it is true that they were at the mercy of their owners, the fact is that most owners wanted their slaves alive, not dead.
The Holocaust was a delibrate and coldly caluclated attempt to completely eliminate certain groups of people, particularly the Jews, but many others were targeted as well. There was no hope for those who were sent to the concentration camps, their only purpose was to die.
ingawaje wakati mwingine Tortures is worse than killing, and i dont means that slavery is not worse, lakini nafikiri holocaust is more worse
so long as steven spielberg hajatoa movie, generation ya leo haita jua hivyo vitu. Kila kitu kimekua entertainement, hawataki kusoma kabisa!
mkuu umeniliza na hizi nyimbo... I am far far from my family and these were the songs our mom use to sing for us when we were kidskuna watu wanadhani kupitia middle passage kuelekea utumwani ilikuwa mchezo wa kuigiza!
Hebu sikiliza hii johnny nash- chain gang - youtube