Liz Senior
JF-Expert Member
- Apr 19, 2007
- 483
- 53
Jamani si jambo la kawaida sana hebu mtujuze mnaojua nini kinaendelea. Kuna Helicopter imetua dakika chache zilizopita Juu ya jengo la hotel ya Holiday Inn. Ni watu na raha zao, kurahisisha usafiri?
katika building codes za kimataifa, kila high rise building linatakiwa liwe na uwezo wa kutua kwa helikopta.
(hii ni kwa mujibu wa safety and evacuation codes za high rise buildings na pia matumizi wakati wa majanga asili)
sasa labda hizo codes za kimataifa nazo zimeanza kutumika Tanzania.
nipo hapa nadunduliza vijisenti nikisubiri huduma ya dar by night tour kwa kutumia chopper :smile-big:
Ha ha mkuu, watu mna mkwara, ila hiyo poa kweli
Sipati picha mijitu litoka ofisini mwao na kuanza kushangaaaaa haha hahhaha:becky::becky::becky::becky::becky:
Ni kweli Helicopter hiyo bado umetulia hapo mpaka sasa. Wenye taarifa watazimwaga humu ili nasi tujue kinachoendelea.
Imekuja late CCM wangeweka kwa ilani iyo na kujinadi maeneo ya uswekeni uko