Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Kama watanzania wenye upeo na mtazamo chanya tuna haki na wajibu wa kuwapuuza hawa wanaoandaa na kutetea hoja za kibaguzi/chuki zenye muelekeo wa kugawa nchi ikiwa ni kidini ama kimakabila.Hawa ni wenye fikra potofu,wavivu, mawazo yao yametawaliwa na tamaa za kuhodhi na kumiliki mali/madaraka makubwa pasipo kujishughulisha.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanzania