Hoja zisizo na mwelekeo wa maendeleo

Mwakalinga Bujo

JF-Expert Member
Oct 22, 2008
2,719
1,440
Kama watanzania wenye upeo na mtazamo chanya tuna haki na wajibu wa kuwapuuza hawa wanaoandaa na kutetea hoja za kibaguzi/chuki zenye muelekeo wa kugawa nchi ikiwa ni kidini ama kimakabila.Hawa ni wenye fikra potofu,wavivu, mawazo yao yametawaliwa na tamaa za kuhodhi na kumiliki mali/madaraka makubwa pasipo kujishughulisha.
Mungu Ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom