Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 15,829
- 40,370
Nilitafakari Sana Jana juu ya mkutano mkuu wa chadema na kijiratiba Cha Jana Cha rais Magufuli nikaona ilikuwa ni hujuma dhidi ya mkutano mkuu wa chadema.
Ilikuwa hivi rais alianza kufungua jengo la mahaka na zimamoto kule Chato.
Baada ya hapo akaenda kuchangisha harambee ya msikiti wa Chato.
Mwisho akafunga na kwenda shule ya msingi aliyosomea kufungua visima nane vilivyojengwa na Islamic foundation.
Hoja yangu:
Wakati haya yote yakiendelea chadema walikuwa na mkutano wao mkuu ambao kimsingi ni tukio la kitaifa lenye uzito kuliko hata ratiba ya Jana ya MH Rais.
Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya. Inamaana kweli hamkuombwa Tena kwa malipo kuja kurusha matangazo Yale? Na je wapanga ratiba ya Rais ni kweli ilikuwa coincidence kwa ratiba ya Rais kugongana na mkutano mkuu wa chadema au mlipanga makusudi ili ku overshadow mkutano wa chadema?
Ilikuwa hivi rais alianza kufungua jengo la mahaka na zimamoto kule Chato.
Baada ya hapo akaenda kuchangisha harambee ya msikiti wa Chato.
Mwisho akafunga na kwenda shule ya msingi aliyosomea kufungua visima nane vilivyojengwa na Islamic foundation.
Hoja yangu:
Wakati haya yote yakiendelea chadema walikuwa na mkutano wao mkuu ambao kimsingi ni tukio la kitaifa lenye uzito kuliko hata ratiba ya Jana ya MH Rais.
Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya. Inamaana kweli hamkuombwa Tena kwa malipo kuja kurusha matangazo Yale? Na je wapanga ratiba ya Rais ni kweli ilikuwa coincidence kwa ratiba ya Rais kugongana na mkutano mkuu wa chadema au mlipanga makusudi ili ku overshadow mkutano wa chadema?