Hoja yangu CHADEMA Jana walihujumiwa

Hoja yangu CHADEMA Jana walihujumiwa

Kumfanya Mbowe kuwa mwenyekiti tena haiwezi kuwa uchaguzi.. its true

Sent using Jamii Forums mobile app
Si unywe sumu tuu ufe? Mbona mnaumia sana uchaguzi wa chama sio chenu?
Wenye chama yaani wanachama wa Chadema ni furaha na vifijo inakuwaje kwenu?
Mbowe hafai kuwa mwenyekiti (kwa muono wenu) kwamba ataua chama, jee ni jambo gani LA furaha kama hilo kwa mwenyekiti wenu, katibu mkuu hadi Polepole?
Hivi inawezekana mtu unayevizia kumuua kwa njia mbalimbali unashindwa kisha unamkuta anakunywa sumu unamzuia na kusikitika? Chadema imekunywa sumu yenyewe ili ife furahini basi! Makelele na vioja vyenu vimetuchosha kabisa. Bladi basketi boli ¢€¥√¶

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No boss

Tunashangilia pamoja Mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu..

Mbowe ni very smart na diplomatic.
Bingwa wa kuwatuliza nyumbu wanapotaka kulipuka kwa maandamano ama kuzomea kikaoni..

CCM inashangilia ushindi wa Mbowe..

Asiyefurahia Mbowe kuwa mwemyekiti wa kudumu huyo ni adui wa Taifa
Si unywe sumu tuu ufe? Mbona mnaumia sana uchaguzi wa chama sio chenu?
Wenye chama yaani wanachama wa Chadema ni furaha na vifijo inakuwaje kwenu?
Mbowe hafai kuwa mwenyekiti (kwa muono wenu) kwamba ataua chama, jee ni jambo gani LA furaha kama hilo kwa mwenyekiti wenu, katibu mkuu hadi Polepole?
Hivi inawezekana mtu unayevizia kumuua kwa njia mbalimbali unashindwa kisha unamkuta anakunywa sumu unamzuia na kusikitika? Chadema imekunywa sumu yenyewe ili ife furahini basi! Makelele na vioja vyenu vimetuchosha kabisa. Bladi basketi boli ¢€¥√¶

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitafakari Sana Jana juu ya mkutano mkuu wa chadema na kijiratiba Cha Jana Cha rais Magufuli nikaona ilikuwa ni hujuma dhidi ya mkutano mkuu wa chadema.

Ilikuwa hivi rais alianza kufungua jengo la mahaka na zimamoto kule Chato.

Baada ya hapo akaenda kuchangisha harambee ya msikiti wa Chato.

Mwisho akafunga na kwenda shule ya msingi aliyosomea kufungua visima nane vilivyojengwa na Islamic foundation.

Hoja yangu:

Wakati haya yote yakiendelea chadema walikuwa na mkutano wao mkuu ambao kimsingi ni tukio la kitaifa lenye uzito kuliko hata ratiba ya Jana ya MH Rais.

Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya. Inamaana kweli hamkuombwa Tena kwa malipo kuja kurusha matangazo Yale? Na je wapanga ratiba ya Rais ni kweli ilikuwa coincidence kwa ratiba ya Rais kugongana na mkutano mkuu wa chadema au mlipanga makusudi ili ku overshadow mkutano wa chadema?
Wana mipango mingi sana ya Kuharibu mambo ya chadema sema mipango yao yote inakuwa ya kitoto na inazidi kuipa kiki chadema kwa mfano Jana Mimi nilikuwa kijijini kabisa lakini wananchi walikuwa wamekusanyika makundi kwa makundi wakifuatilia mkutano wa chadema kupitia simu za mkononi!!.... Sasa hivi majority ya watu hawaangalii habari katika luninga Bali kwenye simu zao hata huku vijijini baada ya kugundua kwenye TV wanapangiwa kitu cha kuona na kusikiliza!....ccm wasichokijua wako nyuma ya muda wakati wananchi wako mbele ya muda so ni ngumu sana Ku wacontrol!
 
Nilitafakari Sana Jana juu ya mkutano mkuu wa chadema na kijiratiba Cha Jana Cha rais Magufuli nikaona ilikuwa ni hujuma dhidi ya mkutano mkuu wa chadema.

Ilikuwa hivi rais alianza kufungua jengo la mahaka na zimamoto kule Chato.

Baada ya hapo akaenda kuchangisha harambee ya msikiti wa Chato.

Mwisho akafunga na kwenda shule ya msingi aliyosomea kufungua visima nane vilivyojengwa na Islamic foundation.

Hoja yangu:

Wakati haya yote yakiendelea chadema walikuwa na mkutano wao mkuu ambao kimsingi ni tukio la kitaifa lenye uzito kuliko hata ratiba ya Jana ya MH Rais.

Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya. Inamaana kweli hamkuombwa Tena kwa malipo kuja kurusha matangazo Yale? Na je wapanga ratiba ya Rais ni kweli ilikuwa coincidence kwa ratiba ya Rais kugongana na mkutano mkuu wa chadema au mlipanga makusudi ili ku overshadow mkutano wa chadema?
mkutano wa taasisi ya mbowe ndiyo izuie kurushwa mubashara kwa shuguri muhimu ya rais? nyie mmelogwa na lissu nyie
 
Hivi tutaweza kujadili kila kitu kweli?

Kwangu mimi it's nothing, what happened has happened....!!

Iwe Rais Magufuli na CCM wameweka sijui jiwe la msingi la choo ama kuzindua choo cha shule ama sijui visima.... Who cares???

CHADEMA nao wamefanya yao na kila kitu, kila upande kimekwenda sawa wamefanikiwa na wamemaliza..... Here we care very much!!

Na kwa taarifa yako la CHADEMA ndilo lililo trend zaidi kuliko la huyo Jiwe na CCM yake ambaye tumeshamzoea....

Na tunakosea kusema kuwa TV hazikurusha mkutano wa CHADEMA. TV gani wakati siku hizi kila mtu ana mobile TV yake mkononi??

Tukio limerushwa hewani na dunia nzima imeliona, mpaka kamanda Tundu Lissu alizungumza live toka Ubelgiji na kuomba kura yake.....!!!

By the way, mimi hata nilikuwa sijui kuwa yuko Chato.....

Nilikuwa naona uzi tu humu kumhusu lakini sikujaribu hata kuufungua kwa sababu he has nothing to offer, hana mvuto zaidi ya vituko....!!!

Akili na mawazo na macho na masikio yangu yote yalikuwa kwenye mkutano mkuu wa CHADEMA na polisi kutumiwa na CCM kung'oa bendera za CHADEMA barabarani....!!
 
Nilitafakari Sana Jana juu ya mkutano mkuu wa chadema na kijiratiba Cha Jana Cha rais Magufuli nikaona ilikuwa ni hujuma dhidi ya mkutano mkuu wa chadema.

Ilikuwa hivi rais alianza kufungua jengo la mahaka na zimamoto kule Chato.

Baada ya hapo akaenda kuchangisha harambee ya msikiti wa Chato.

Mwisho akafunga na kwenda shule ya msingi aliyosomea kufungua visima nane vilivyojengwa na Islamic foundation.

Hoja yangu:

Wakati haya yote yakiendelea chadema walikuwa na mkutano wao mkuu ambao kimsingi ni tukio la kitaifa lenye uzito kuliko hata ratiba ya Jana ya MH Rais.

Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya. Inamaana kweli hamkuombwa Tena kwa malipo kuja kurusha matangazo Yale? Na je wapanga ratiba ya Rais ni kweli ilikuwa coincidence kwa ratiba ya Rais kugongana na mkutano mkuu wa chadema au mlipanga makusudi ili ku overshadow mkutano wa chadema?
Ni muda muafaka wapinzani waunde vyombo vyao vya habari.
Lakini wasife moyo maana kizuri chajiuza kibaya hujitembeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya. Inamaana kweli hamkuombwa Tena kwa malipo kuja kurusha matangazo Yale? Na je wapanga ratiba ya Rais ni kweli ilikuwa coincidence kwa ratiba ya Rais kugongana na mkutano mkuu wa chadema au mlipanga makusudi ili ku overshadow mkutano wa chadema?
Ulivipa mtaji wewe vyombo vya habari?
 
Boss wangu angeogopa Lissu ama Heche kuwa mwenyekiti... Hawaogopi.. Hawana suruhu....

Mbowe ni shock absorber wa serikali.. Ana uvumilivu na ustaarabu sana....

Mbowe awe mwenyekiti wa maisha ....
Exactly, Mwenyekiti wenu ndiye kiongozi mkuu wa wasiopenda Mbowe awe mwenyekiti, achana na habari ya kudumu huo ni uzushi wako. Kwa hiyo huyo ni Adui wa taifa.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mpumbavu sana
Nilitafakari Sana Jana juu ya mkutano mkuu wa chadema na kijiratiba Cha Jana Cha rais Magufuli nikaona ilikuwa ni hujuma dhidi ya mkutano mkuu wa chadema.

Ilikuwa hivi rais alianza kufungua jengo la mahaka na zimamoto kule Chato.

Baada ya hapo akaenda kuchangisha harambee ya msikiti wa Chato.

Mwisho akafunga na kwenda shule ya msingi aliyosomea kufungua visima nane vilivyojengwa na Islamic foundation.

Hoja yangu:

Wakati haya yote yakiendelea chadema walikuwa na mkutano wao mkuu ambao kimsingi ni tukio la kitaifa lenye uzito kuliko hata ratiba ya Jana ya MH Rais.

Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya. Inamaana kweli hamkuombwa Tena kwa malipo kuja kurusha matangazo Yale? Na je wapanga ratiba ya Rais ni kweli ilikuwa coincidence kwa ratiba ya Rais kugongana na mkutano mkuu wa chadema au mlipanga makusudi ili ku overshadow mkutano wa chadema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi navilaumu vyombo vya habari kwa unafiki huu kumbukeni siku chadema ikishika madaraka mtalazimika kuyajibu haya.
Mkuu 'superbug', ungeondoa tu mstari huo, haukuwa na faida yoyote katika mada yako nzuri kabisa.
Bila shaka hao wenye vyombo vyao vya habari na biashara zao wanakielewa vizuri sana wanachofanya, na nina hakika hata CHADEMA wanazo taarifa zao.

Hizi ni nyakati tofauti kabisa mkuu 'superbug', tunapolalamika humu tusijisahaulishe kana kwamba hali hiyo sisi sote hatuijui!

Hebu labda nimalizie kwa kukuuliza swali: Hivi hiyo serikali ya CHADEMA itapatikana lini na vipi?

Kutokana na ulivyowasilisha mada yako, najua unao upeo mkubwa wa kulielewa swali nililokuuliza.
 
Jiwe alitamani sana kuzuia mkutano, lakini walijua kuuzuia maana yake Mbowe anaendelea kuwa mwenyekiti na wao hawataki, sasa wangefanyaje? Maana walijua kabisa mtu wao hafiki kokote, eti hiyo ndio yao plan B,

ccm.aka gambas ni wazuri kwenye kuiba kura na kupora ushindi kwa msaada wa tiss na police na NEC basi , zaidi ya hapo hamna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom