Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
- Thread starter
- #21
Hukumuelewa kabisa alisema mawaziri wenye kashfa wasipowajibika wao kama wabunge(not only ZK) watamuajibisha waziri mkuu. Wameshaondolewa kwenye wizara kwa itabidi ashauriane na wenzake cha kufanya kama ni kuiendeleza au kuiacha.
Morinyo kwa kuwa Mkuchika, nyalandu, maghembe, Malima, Chiza n.k wamelindwa sasa kunakushauriana hapo au kupambana na khoja iendelee tu?
Last edited by a moderator: