Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!

Nadhan watu wengi hawakuielewa HOJA ya Mzee Mwanakijiji kipindi kile. Bila shaka hata Zitto mwenyewe!
Laiti kama ZZK angesikiliza na kufuata ushauri wake wa kutokupeleka ile hoja yake kwa wakati ule basi wakati huu ndio ungekuwa muafaka wa kutumia zile saini 73 kumshtaki Rais bungeni

Mimi nafikiri Zitto alikuwa sahihi kwani ile ndo imepelekea rais kufanya mabadiliko kwani bila ile move mabadiliko yasingekuwepo at all. Lakini all in all hiki ni kiini macho ambacho kimekosewa na rais. Namaanisha alitaka kutu-please lakini bado kachemsha kwani haya sio yale mabadiliko yaliyotarajiwa na wengi wetu. Ataingia kwenye history kama rais wa mwisho wa sisiem na naamini yeye si ccm kweli maana anaisambaratisha tu tartiiib!!! Na kama ni ccm kweli basi hajui alifanyalo.
 
Suala la kumuwajibisha PM ni suala kubwa na linahitaji hata ushiriki wa wabunge kutoka CCM, kwa mabadiliko haya sidhani kama wabunge wa CCM wataikubali ile hoja.

dah that is true to be honest.. back to the drawing table now.
 
PINDA ANAFAA SANA KWA STYLE YA UONGOZI WA JK. Kimpa kama Magufuri hamalizi wiki 1. Pinda anfaa sana maana yeye ni ndiyo mzee. Nageuzwa kama chapati jikoni. Akiweka kichwa kitamtesa
 
Yawezekena kwa huruma ya JK kaona amuache hadi hapo 2015 amalize kipindi chake kwa 'heshima'
 
Yawezekena kwa huruma ya JK kaona amuache hadi hapo 2015 amalize kipindi chake kwa 'heshima'

Wazuri mkuu hupitishwa na bunge angemtoa sasa
Ingekuwa noma maanake tungebaki bila waziri mkuu hadi June. Na rais ndiye anayemjua Pinda kuwa anamsaidia au la atamtoa kwa ratiba yake
 
Wazuri mkuu hupitishwa na bunge angemtoa sasa
Ingekuwa noma maanake tungebaki bila waziri mkuu hadi June. Na rais ndiye anayemjua Pinda kuwa anamsaidia au la atamtoa kwa ratiba yake
Nimepata picha sasa kuwa Pinda yuko pale kwa kuwa kabanwa sheria zilizopo. Cha msingi tusubiri kura za kina Zitto.

NB: ndugu Cookie na wenginewe unganisha hii kitu kule kwa Rutashubanyuma tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Pakawa wale waliotolewa watapiga ganzi kwa sababu wameanza kutishiwa kuwa takukuru imeanza kufuatilia utajiri wao ili kuwazima wasilete chokochoko..ccm is always deploying carrot and intimidation tactics to stay in power........
Ruta itakuwa heri kwao kama ni kelele za kumtoa nyoka pangoni lakini ikiwa vinginevyo hali itakuwa si shwari kwa chama tawala....ccm inajua kuuma na kupuliza.Tusubiri tuone kama nini tena inaitwa??? oops! takukuru wato'e majibu vinginevyo ccm itabeba dhambi kubwa.....rejea kwenye post za mwanzo wananchi wana hasira kali na hawa watu.. hahahahha Tanzania Nakupenda kwa moyo wote, Nchi yangu Tanzania jina lako ni tamu sana. I love my country for real!
 
Katika Mkutano wa Bunge uliopita Zitto aliwasilisha maombi kwa Spika ya kutaka kuwasilisha hoja yake maarufu kama 'Operesheni uwajibikaji' ya kutaka kung'oka kwa Waziri Mkuu baada ya kushindwa kuwawajibisha Mawaziri waliohusishwa na upotevu wa mali za Umma kama zilivyoaainishwa kwenye ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali. Na katika kukidhi matakwa ya kikanuni alikusanya saini zaidi 70 za wabunge ili kuwasilisha hoja hiyo.

Bahati mbaya
Zitto alipaswa aipeleke ile hoja kabla ya angalau siku 14 ili iweze kujadiliwa, wakati siku zikisubiriwa kutimia Mkutano ule ukaarishwa hadi mwezi June. Sasa leo tumeskia Rais kafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na kwa bahati nzuri wengi wa wale waliotakiwa kujiuzuru wameachwa isipokuwa George Mkuchika na Prof Jumanne Maghembe. Sasa swali kwa Zitto na wadau wengine ile hoja yetu ndiyo imekufa?

Your Faithfully,
TUMBIRI wa JF.
 
Yes its not enough and not to the expectations, but something has happened because of the pressure exerted by Zitto's group. Lets be honest, we are demanding for too much from him, we are supposed to congratulate Zitto for a job well done so far.
 
Katika Mkutano wa Bunge uliopita Zitto aliwasilisha maombi kwa Spika ya kutaka kuwasilisha hoja yake maarufu kama 'Operesheni uwajibikaji' ya kutaka kung'oka kwa Waziri Mkuu baada ya kushindwa kuwawajibisha Mawaziri waliohusishwa na upotevu wa mali za Umma kama zilivyoaainishwa kwenye ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali. Na katika kukidhi matakwa ya kikanuni alikusanya saini zaidi 70 za wabunge ili kuwasilisha hoja hiyo.

Bahati mbaya
Zitto alipaswa aipeleke ile hoja kabla ya angalau siku 14 ili iweze kujadiliwa, wakati siku zikisubiriwa kutimia Mkutano ule ukaarishwa hadi mwezi June. Sasa leo tumeskia Rais kafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na kwa bahati nzuri wengi wa wale waliotakiwa kujiuzuru wameachwa isipokuwa George Mkuchika na Prof Jumanne Maghembe. Sasa swali kwa Zitto na wadau wengine ile hoja yetu ndiyo imekufa?

Your Faithfully,
TUMBIRI wa JF.

jawabu la haraka ni 'ndiyo'. Kumbuka, hakuna aliyemu-accuse WM makosa yeye mwenyewe ili mawaziri. Rais kaonesha kuwa ana imani na Waziri Mkuu wake.
 
Back
Top Bottom