Tunaona magari ya serikali yanayoonekana wazi kabisa kuwa mapya Prado za 2024/2025 lakini yanatembea na namba za usajili za zamani za miaka ya 2000, mfano T 220 ATZ.
Hii ni akili ya kawaida au ni dharau kwa jamii?
Je, serikali haijui kuwa mfuatano wa namba unaendana na mwaka wa usajili? Au wanajua lakini hawajali?
Kama hii inaitwa “intelijensia”, basi ni intelijensia dhaifu sana.
Katika dunia ya leo, kweli usalama unategemea kubandika namba ya zamani kwenye gari jipya? Hii si ujinga wa wazi?
Na kama kuna utaratibu maalum unaoruhusu hili, kwa nini hauwekwa wazi?
Kwa nini wananchi wa kawaida wakikiuka sheria wanakamatwa papo hapo, lakini magari ya serikali yanakiuka waziwazi bila hata aibu?
Swali la msingi: Je, sheria zipo kulinda haki au zipo kuwakandamiza raia wa kawaida tu?
Kama viongozi na taasisi za serikali ndizo za kwanza kukiuka sheria, basi tunatarajia nini kutoka kwa wananchi?
Hii ni akili ya kawaida au ni dharau kwa jamii?
Je, serikali haijui kuwa mfuatano wa namba unaendana na mwaka wa usajili? Au wanajua lakini hawajali?
Kama hii inaitwa “intelijensia”, basi ni intelijensia dhaifu sana.
Katika dunia ya leo, kweli usalama unategemea kubandika namba ya zamani kwenye gari jipya? Hii si ujinga wa wazi?
Na kama kuna utaratibu maalum unaoruhusu hili, kwa nini hauwekwa wazi?
Kwa nini wananchi wa kawaida wakikiuka sheria wanakamatwa papo hapo, lakini magari ya serikali yanakiuka waziwazi bila hata aibu?
Swali la msingi: Je, sheria zipo kulinda haki au zipo kuwakandamiza raia wa kawaida tu?
Kama viongozi na taasisi za serikali ndizo za kwanza kukiuka sheria, basi tunatarajia nini kutoka kwa wananchi?