Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
MKANYA
haya hapa mbona mbona hakuzuia haya maji eeeeh sindio mkisali huwa mnaelekea hapo ambapo ni mahali patakatifu kwenu?
PICHA ULIYO TOA NI MAJI YALIJAA NA MVUA LAKINI HAYAKUHARIBU CHOCHOTE NI TAFAUTI KABISA TSUNAMI!!!!!
MKANYA HATA KWENYE TSUNAMI MAJI YALIJAA MISIKITINI LAKINI SWALI KWANI MAGOROFA, MAHOTELI, NA MAJENGO MENGINE YOTE YAMETEKETEA LAKINI MISIKITI ILIBAKIIIII?
Mkuu Osama , tumia kidogo rasilmali uliyopewa na Mwenyezi Mungu,bongo ya kufikiri.
Majengo ya ibada duniani pote ni public bulidings ambazo hujengwa kwa ukamilifu wa taratibu zote za ujenzi.Tofauti na nyumba ndogondogo has kule Indonesia zilizojengwa na fito na makaratasi.
Nyumba hizo za fito ndio zilizozolewa na umeziona mwenyewe kwenyehiyo clip.Sasa cha ajabu nini hapo zaidi ya uwezo wa kufikiri