Hofu ya Mbowe na CHADEMA juu ya Zitto

Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani ana mambo muhimu ya kufanya hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu - yaani uwe na wasiwasi na chama ambacho hakina hata kiongozi mmoja wa mtaa nchi nzima!! maajabu.

Mwacheni kijana ahangaike akichoka atakaa kama walivyokwisha kaa wengine!! Siasa za nchi hii si za kuingilia kichwa kichwa - angepata ushauri toka kwa kina Lamwai and the like!!

Nani amekuambia ACT aina viongozi wa mtaa wanaviti kigoma na mpanda
 
Wasalamaleku sisi ni waarabu sisi waafrica vipi wewe au hauna lugha ya Kabila lako unatuletea mambo ya jihad hapa kwani umeambiwa nani tunataka kujilipua mabomu ili twende peponi ??
jadili mada,kama huna point tulia.
 
Wasalamaleku sisi ni waarabu sisi waafrica vipi wewe au hauna lugha ya Kabila lako unatuletea mambo ya jihad hapa kwani umeambiwa nani tunataka kujilipua mabomu ili twende peponi ??


We are all Tanzanians and we gonna remain Tanzanians no matter the hate
 
Act na wafuasi wake wanatakiwa kujikita kwenye kujenga chama na sio vinginevyo.kujikita kuleta upinzani ndani ya upinzani ni kuwapa ccm mteremko.
 
Ndugu ingekuwa vyema japo kidogo ukatafakari haya yaliyomo kwenye hili bandiko...

Na kwa kuongezea tu humu humu jukwaaani walitokea watu wengi sana kuishauri chadema hasa kwa wakati huu wasimfukuze ila wakapuuza na niko na wasiwasi mkubwa sana kama Lissu hajui alilokuwa analifanya...

Na swali kwako wewe ndugu Lissu kuwa kiherehere katika sakata la Zitto je alikuwa anatumiwa na nani?? Ni kweli Mbowe alikuwa anamtumia Lissu?? Ama ni watawala walikuwa wanamtumia Lissu??

Tulisha maliza kazi, tuna kaxi moja tu hapo October nayo ni kuiondoa ccm, hatuwezi kuhangaika na kikundi cha MTU mmoja kisicho hats na balozo was nyumba kumi
 
sio kweli vijana tunavutiwana zito. kutokeza ktk mkutano akumasnishi tunavutiwa. ila tambua vijana ni watu wenye kufikili vema. tunatambua hila zozote za mtu.subili kula ndio utajua kuwa vijana atumkubali mtu anaejiusisha na chama kingine huku akiwa chama kingine. sisi kama vijana tunavutiwa na mtu muaminifu ktk chama. asie tuhumiwa na viongozi wenzie. na atuvutiwi na mtu alie na chama ndani ya chama. nitasema kweridaima fitina kwangu nimwiko. tukijua ulivalia gamba ndani ya gwanda tunakuvua gwanda.
 
Ndugu ingekuwa vyema japo kidogo ukatafakari haya yaliyomo kwenye hili bandiko...

Na kwa kuongezea tu humu humu jukwaaani walitokea watu wengi sana kuishauri chadema hasa kwa wakati huu wasimfukuze ila wakapuuza na niko na wasiwasi mkubwa sana kama Lissu hajui alilokuwa analifanya...

Na swali kwako wewe ndugu Lissu kuwa kiherehere katika sakata la Zitto je alikuwa anatumiwa na nani?? Ni kweli Mbowe alikuwa anamtumia Lissu?? Ama ni watawala walikuwa wanamtumia Lissu??

Acha u.jin.ga saliti ni saliti tuuu!! Vigeugeu huwa wanazaliwa!! Chadema ni taasisi haina mda wa kupambana na mtu tunapambana na taasisi ya ccm!! Ukisaliti tunatupa nje bila kujali umaharufu! Yaani vita haichagui ukigeuka nyuma unachapwa risasi mapambano yanaendelea bila kujali we ni jenerali au komando!! Waraka wa kuanzisha mapinduzi ambao zitto mwigamba na yule dr uchwara ndio usaliti. Haiwezekani uanzishe bustani ndani ya bustani alafu tukuvumilie!!! Zitto hata angesamehewa angeleta majanga makubwa maana ni msaliti ndivyo alivyo!! Uliza kilichomkumba juzi makambako(zomea zomea) hadi akamaliza mkutano kabla ya wakati!!! Saliti ni saliti tupa kule cdm inasonga mbele!!! Dr. Slaa yuko ugaibuni kujinoa kwa siasa za kisayansi siyo za kujiita mfalme wa chama alafu chini unaweka mwenyekiti kisha useme utafeka pori!! Lipi hili ambalo ukawa imeshamaliza kufeka imepanda sasa inapalilia na itaenda kuvuna october au lipi?!!
 
Mbowe amekasirika sana kazi aliyowapa Bavicha ya kumchafua Zitto mitandaoni imefeli, matokeo yake Watanzania wanazidi kumpenda

Mkuu, hivi unaweza kutuwekea post hapa inayohusu hayo unayoyasema kutoka kwa hawa viongozi wa vyama hivi? Maana tumekuwa tukiona mara Zitto kasema hivi, mara Mbowe kasema vile, mnayatoa wapi haya???
 
Asalaam aleikhum wanajukwaa

Kwa takribani kipndi kama cha mwezi mzima uliopita kumeibuka msuguano mkubwa sana hasa kwenye mitandao ya kijamii kati ya wafuasi wa CHADEMA dhidi ya wafuasi wa chama cha ACT.

Msuguano huo hasa unahusisha wale wafuasi wa CHADEMA kurusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA ndugu Zitto kwa kumuita -------, Anatumiwa na CCM kuuwa upinzani, Anaandaliwa mikutano yake na CCM na shutuma nyinginezo nyingi nyingi tu sina haja ya kuzirudia hapa.

Lakini kwa upande wa huyo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA yeye alishapigia mstari kule alikokuwepo na ameanza safari yake mpya katika chama kipya na ambacho amakiasisi yeye mwenyewe wakati akiwa bado na kesi dhidi ya CHADEMA na hatukuwai kumsikia ama haijathibitishwa ya kwamba huko ACT alipohamia amekuwa akiwatuhumu ama kuwashambulia viongozi wa chama chake cha zamani lakini pia chama chake cha zamani.

Sasa nirudi katika hoja ya kwanini Mbowe, Slaa na baadhi ya wanachama wa chadema walio watiifu kwa Mbowe na wale wafuata mkumbo wanahofu dhidi ya ZITTO?

Ni ukweli usiopingika Mbowe na Zitto ndio waliotumia muda mwingi kukijenga chama hicho na kuwaaminisha Watanzania kwamba muarubaini wa matatizo yao umepatikana na katika pilika za kukujenga chama hicho ndugu Zitto aliwavutia vijana wengi sana kuipenda siasa hasa ikizingatiwa kipindi kile hakukuwa na vijana waliokuwa wanavutiwa na siasa.

Kwa mantiki hiyo ndani ya CHADEMA kuna viongozi wengi ambao wamekuwa wakinungunika muda mrefu sana kutokana na aina ya uongozi wa mabavu ambao mwenyekiti na katibu wake pamoja na wale vipenzi vyao wanaoutumia.

Na wamekuwa hawana sehemu ya kusema kwa kuwa wako ndani ya chama lakini wametengwa na ni wanamageuzi wa ukweli kabisa nikiwa na maana hawawezi kuhamia chama tawala kwa hiyo wamekuwa kwa muda mrefu wakivumilia vurugu zote na mabavu ya Mwenyekiti na genge lake.

Sasa hofu inakuja zaidi kwa Mwenyekiti na genge lake kwa kuwa wale Makamanda sasa wanamahali pakuelekea na hasa baada ya kuona mwanzo wa ziara za ACT na hali yakuwa Makamanda hao wanaushawishi mkubwa sana katika jamii inayowazunguka.

Wasalaam

Huwezi kunisalimia kiarabu, kwani wazaramo walikuwa hawasalimiani??
 
Poleni CDM hiyo ni NGO na siyo chama, iweje leo muasisi wa chama anakuwa na pensheni ndani ya mapato ya chama???

Weka slips kuonyesha malipo... Hatuwezi kuamini nadharia yenye msukumo wa matako yako kisiasa.
 
sio kweli vijana tunavutiwana zito. kutokeza ktk mkutano akumasnishi tunavutiwa. ila tambua vijana ni watu wenye kufikili vema. tunatambua hila zozote za mtu.subili kula ndio utajua kuwa vijana atumkubali mtu anaejiusisha na chama kingine huku akiwa chama kingine. sisi kama vijana tunavutiwa na mtu muaminifu ktk chama. asie tuhumiwa na viongozi wenzie. na atuvutiwi na mtu alie na chama ndani ya chama. nitasema kweridaima fitina kwangu nimwiko. tukijua ulivalia gamba ndani ya gwanda tunakuvua gwanda.

Ingekuwa vizuri ujifunze kusoma bandiko vizuri...lakini jingine embu rudi shule kajifunze matumizi ya L na R kisha urudi tena
 
Back
Top Bottom