TanzaniteNatafuta kitu chenye Kenya ikikihitaji kitapatikana Tanzania pekee nakosa.
hizo ni minerals zenu, hata mkitupita litakuwa jambo la kukubalika.. lakini kwa sasa ni aibu kwenuTutaheshimiana tu. Miaka miwili ijayo kila kitu kitakuwa wazi
Kuna wachezaji wenu Kahata na Shikalo waulize tangia wamekuja wamesikia mtu anaumwa Corona.Hizi nguvu mnatumia kuficha udhaifu wenu kwenye suala la corona na kulilia Wakenya, mngezitumia kwa kuhakikisha mnapima na na kutolea taarifa za hali yenu hamngejikuta kwenye hali hii ya kukataliwa na dunia, mtaandika hizi insha mpaka mjaze vitabu vya dunia ila hali ni ile ile, corona ni tatizo la kisayansi na linapaswa kushughulkiwa kisayansi sio kwa matamko ya wanasiasa.
Leo hii Mtanzania ukionyesha paspoti ya Tanzania kwenye uwanja wowote wa ndege jamaa wote ghafla wanavaa barakoa na kujilinda na kukupitishia kwenye ukaguzi wa hali ya juu, hii ramani inaonyesha mlivyotiwa alama nyekundu na kanuni za kuwakagua mara mbili mbili.
Yaani mtelekeze jitihada dhidi ya corona kwa jinsi mlivyojichokea kisha muanze kulazimisha na kung'ang'ania kuingia ndani ya mataifa ya watu.
Kwetu huku njooni tumewaruhusu mje maana mumelia sana ila lazima kila anayefika na paspoti ya Tanzania apanue mdomo hadi jino la mwisho lionekane kisha kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo, ukipita huo mtihani wa kupimwa walau mara mbili kisha utfuatiliwa siku 14, utolee taarifa wapi unakwenda na utaishi kivipi, zikiisha hizo 14 basi hapo unaruhusiwa kujiachia huru na kufurahia maziwa na asali ya Kenya.
Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam | U.S. Embassy in Tanzania
Mpo kwa ubepari navuchumi wa soko huru tokea mpate Uhuru hadi Leo mlicho ambulia ni kumiliki madampo ya slum!!!! Sisi tumeingia kwa uchumi wa soko huru miaka ya 95 tu ona vyenye tunasonga mbele kuliko nchi zote zilizo kuwa za kibepari toka uhuruhizo ni minerals zenu, hata mkitupita litakuwa jambo la kukubalika.. lakini kwa sasa ni aibu kwenu
Kwa africaMpo kwa ubepari navuchumi wa soko huru tokea mpate Uhuru hadi Leo mlicho ambulia ni kumiliki madampo ya slum!!!! Sisi tumeingia kwa uchumi wa soko huru miaka ya 95 tu ona vyenye tunasonga mbele kuliko nchi zote zilizo kuwa za kibepari toka uhuru
Malizia ..... Kisha tukafunga kazi kwa kutangaza na kusherehekea corona festival hakina MK254 na Tony254 mkatucheka sana na kutuona wajinga ,Leo kiranga kimewaisha mmekunja mikiaTanzania hatuna Corona.
Tuli idhibiti kwa mbinu zetu wenyewe na sio kusubiri kuamrishwa na Wazungu.
1. Tulitangaza wiki moja ya kumwomba Mungu atuepushe na hili janga.
2. Ilipoisha tulitangaza wiki moja ya kujikinga kwa kujifukiza.
Hapo watu walijenga mitambo ya kujifukiza, watu wakaloa jasho chapachapa, watoto walitumbukizwa kwenye masufulia na majungu yenye joto.
3. Tukapiga Mbiu ya kuongeza Kinga Mwilini kwa kunywa.
+Chai ya Tangawizi
+Juisi za Limao na ndimu
+Kachumbali ya vitunguu maji, na vitunguu swaumu na tangawizi.
+Ikaja kampeni ya kuhakikisha mtu anakula na kushiba chakula cha asili tu, kama mbogamboga, caroti, matunda kwa wingi nk.
Hizo ni baadhi ya Juhudi ambazo sisi Watanzania tulizichukua kwa bidii yote huku tukiungwa mkono na kiongozi Jemedali Mkuu Raisi John Pombe Magufuli. Kwa mwongozo wa Wataalamu wa Afya.
Ni hivyo tu basi ndugu zetu wa Kenya.
Na tukafanikiwa kuitokomeza Corona na nina Uhakika tulipomtanguliza Mungu tukaoneshwa Njia stahiki.
Mnaweza kuiga hizo mbinu mkipenda ila hakikisheni mna chakula cha Kutosha. Hizo Limao tu sehemu nyingine ziliuzwa hadi shilingi 1000/= Limao moja, maeneo kama hapa Arusha Mjini.
Ha...ha...haaa, umetisha sana.
Nimeisikia juzi hiyoTanzanite