Hofu kuu imetanda CHADEMA, Majimbo yanayoenda kufanya uchaguzi kubaki CCM

Nakushauri wewe na maCCM hapa Arusha msifikiri wala msithubutu kufanya uhuni wo wote. Huku Lema ni Rais ana kata 24 kati ya 25. Ila ana kura za wote waliojiandikisha. Kwanza namshangaa Lema kufanya kampeni, asubiri matokeo.
 
12189129_917764908315663_3945288014718428027_n.jpg


Enyi watu wa Arusha mjini msifanye makosa kumchagua Lema, mchagueni Philemon Olais Mollel wana Arusha kamwe hamtojuta.

"Ni rahisi kwa twiga kupenya kwenye tundu la sindano kuliko CCM kushinda kiti cha ubunge Arusha mjini"
 
Wajinga ndio waliwao. Kuongozwa na Lema ndio ujinga wa mwisho duniani, lema hilo ndilo lijinga, JIZI na Nazi Koroma lilopata bahati ya waongoza watu . Duh poleni Arusha kwa uzembe wa hali ya juu sana. Chagueni hata FISI shauri yenu na wala hamtayazuia mabadiliko halisi, nyinyi mtabaki mnatumiwa tuu kama ..........................
 
Lema asidhani kwamba kwa chadema kushinda kata 24 ndio kigezo cha yeye kukubalika.

JIMBO LINARUDI CCM
 
Wajinga ndio waliwao. Kuongozwa na Lema ndio ujinga wa mwisho duniani, lema hilo ndilo lijinga, JIZI na Nazi Koroma lilopata bahati ya waongoza watu . Duh poleni Arusha kwa uzembe wa hali ya juu sana. Chagueni hata FISI shauri yenu na wala hamtayazuia mabadiliko halisi, nyinyi mtabaki mnatumiwa tuu kama ..........................

tukana matusi yote ila Lema ndiye mbunge wetu.
 
Wajinga ndio waliwao. Kuongozwa na Lema ndio ujinga wa mwisho duniani, lema hilo ndilo lijinga, JIZI na Nazi Koroma lilopata bahati ya waongoza watu . Duh poleni Arusha kwa uzembe wa hali ya juu sana. Chagueni hata FISI shauri yenu na wala hamtayazuia mabadiliko halisi, nyinyi mtabaki mnatumiwa tuu kama ..........................

umepanic sana.
punguza jazba.
Lema ndiyo mbunge wetu period.
 
Mmetunyima Urais, basi mtupe Mbunge kwani hakuna kuchakachua kura na Tume inatenda haki kwenye ngazi ya ubunge!
 
Back
Top Bottom