Hofu kuu imetanda CHADEMA, Majimbo yanayoenda kufanya uchaguzi kubaki CCM

Ktkt bandiko lako naona ukweli ktkt eneo flani nalo ni hili kwa marudio haya ukawa wakipata sana labda kiti kimoja au viwili na si zaidi,
Sababu sio kwamba ni utendaji kazi wa raisi mpya
Raisi anafanya vizuri anastahili pongezi.
Kitakachowaangusha ukawa ni kukata tamaa kwa wananchi wengi wamepoteza imani na ukawa kwani waliwaambia mwaka huu watalinda kura zao za uraisi hazitaibiwa,
Wananchi wasiwe na wasiwasi mwisho wa siku wamelalamika kuibiwa kura.

Watawahakikishia vipi kwamba kwamba watazilinda kura zao ikiwa zingine wameshindwa kuzilinda.
Na hali hii ya kukata tamaa sio uchaguzi huu tu hata 2020 lazima ukawa iwagharimu.

umenifanya ni fikirie jinsi ya ku 'like'
 
Sio km unavyofikiria uchaguzi huu nilikua ktk kundi la Waangalizi wa TEMCO analysis yangu ya CCM kushinda uchaguzi uliopita ni kosa la kimkakati wa Chadema hasa kule vijijini hawakufanya kampeni kabisa believe me lkn ni tofauti na hapo arusha kwa mfano,kampeni zimefanyika na watu ni waelewa.
 
magufuli amefanya nini cha maana? Ziara za kisanii za kushtukiza hata kikwete alizifanya sana? Viwanda alivyoahidi viko wapi? Hana tofauti na alieondoka usanii mtupu

kama kuna mpu...mba ...vu na mjinga na lofa wa kutupwa ni.wewe. Naona hata shule ulifeli. Mtu hajaenda hajanya wewe unamfuta si ukichaa. Unamhukumu mtu kwa kazi hajafanya. Hiyo chuki yako itakumaliza. Hata lowassa aliyepoteza ma bilioni yake hana maumivu kama ulionayo. Jirudi na ujihurumie.
 
magufuli amefanya nini cha maana? Ziara za kisanii za kushtukiza hata kikwete alizifanya sana? Viwanda alivyoahidi viko wapi? Hana tofauti na alieondoka usanii mtupu

kama kuna mpu...mba ...vu na mjinga na lofa wa kutupwa ni.wewe. Naona hata shule ulifeli. Mtu hajaenda chooni, wala hajanya wewe unamfuta si ukichaa. Unamhukumu mtu kwa kazi hajafanya. Hiyo chuki yako itakumaliza. Hata lowassa aliyepoteza ma bilioni yake hana maumivu kama ulionayo. Jirudi na ujihurumie.
 
kama kuna mpu...mba ...vu na mjinga na lofa wa kutupwa ni.wewe. Naona hata shule ulifeli. Mtu hajaenda chooni, wala hajanya wewe unamfuta si ukichaa. Unamhukumu mtu kwa kazi hajafanya. Hiyo chuki yako itakumaliza. Hata lowassa aliyepoteza ma bilioni yake hana maumivu kama ulionayo. Jirudi na ujihurumie.

Sion sbb ya kutukana mkuu ukweli ni kwamba ndio kafanya kazi ya kuvunja bodi ya muhimbili . Ila watanzania wengi tunasubiria atimize ahadi alizozitoa. Kama viwanda , milion 50 kwa kata na mengineyo.
Vijana bado hatuna ajira tunasubir viwanda vijengwe tupate ajira.
 
Anaechaguliwa ni rais au mbunge?

Unamaanisha ukawa waliibiwa kura za uraisi peke yake?
mbona wanalalamika hata kura za wabunge zimeibiwa.
Kuna haja gani ya kuwapigia kura watu wasioweza kulinda kura zao?
Hicho ndicho kilichokatisha tamaa wananchi.
 
12189129_917764908315663_3945288014718428027_n.jpg


Enyi watu wa Arusha mjini msifanye makosa kumchagua Lema, mchagueni Philemon Olais Mollel wana Arusha kamwe hamtojuta.
 
12189129_917764908315663_3945288014718428027_n.jpg


Enyi watu Wa Arusha mjini msifanye makosa kumchagua Lema, mchagueni Philemon Olais Mollel wana Arusha kamwe hamtojuta

Enyi watu wa Arusha mjini msije fanya makosa ya kuchagua gamba! Lema anatosha kamwe hamtojuta!
 
kama kuna mpu...mba ...vu na mjinga na lofa wa kutupwa ni.wewe. Naona hata shule ulifeli. Mtu hajaenda hajanya wewe unamfuta si ukichaa. Unamhukumu mtu kwa kazi hajafanya. Hiyo chuki yako itakumaliza. Hata lowassa aliyepoteza ma bilioni yake hana maumivu kama ulionayo. Jirudi na ujihurumie.

Hata mm ni ukawa lakin magufuli kaanza vyema, na tunampongeza na tunamwombea kwa mungu azidi kupata maarifa kwa maana anagusa mulemule tunamohitaji wananchi,
 
Back
Top Bottom