Fyong'oxi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 266
- 72
Ninae mpenzi wangu ambaye tumekuwa kwenye uhusiano katika kipindi cha miaka miwili sasa naTunapendana mno.
Nimefanikiwa kupata nafasi ya kwenda kusoma Degree ya pili nje ya nchini Canada. Ninatarajia kutumikia masomo yangu katika kipindi cha miaka miwili mfululizo bila kurejea nyumbani TZ kwakuwa kipindi cha likizo ninatarajia kufanya shughuli fulani ya kuniingizia pesa nikiwa hukohuko.Tunaahadi ya kuoana baada ya mimi kumaliza masomo nirejeapo nyumbani TZ.Yeye amemaliza masomo yake ya degree ya kwanza ndio kwanza anatafuta kazi sasa.
Hofu yangu ni kuwa
-Je ni kweli atakuwa na moyo wa kusubiri nimalize masomo tutimize ndoto zetu?
- Je nikweli atakuwa na uwezo wa kuvumilia bila kuwa na mwanaume/au kufanya mapenzi kwa kipindi chote cha miaka miwili?
Nimefanikiwa kupata nafasi ya kwenda kusoma Degree ya pili nje ya nchini Canada. Ninatarajia kutumikia masomo yangu katika kipindi cha miaka miwili mfululizo bila kurejea nyumbani TZ kwakuwa kipindi cha likizo ninatarajia kufanya shughuli fulani ya kuniingizia pesa nikiwa hukohuko.Tunaahadi ya kuoana baada ya mimi kumaliza masomo nirejeapo nyumbani TZ.Yeye amemaliza masomo yake ya degree ya kwanza ndio kwanza anatafuta kazi sasa.
Hofu yangu ni kuwa
-Je ni kweli atakuwa na moyo wa kusubiri nimalize masomo tutimize ndoto zetu?
- Je nikweli atakuwa na uwezo wa kuvumilia bila kuwa na mwanaume/au kufanya mapenzi kwa kipindi chote cha miaka miwili?