titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,806
Utaratibu wa humu member mpya unatakiwa kuweka picha kwenye uzi huu wa kukaribishana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaona sehemu inayosema natakiwa kuweka picha mkuuUtaratibu wa humu member mpya unatakiwa kuweka picha kwenye uzi huu wa kukaribishana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaruhusiwa mkuu
Unachokitafuta utakipata
Nimeshampata mkuu
Hahahaaa mgeni wetu bana mara hii ushajua neno mkuu, na emonji juuu iLa cyo mbaya hata huyo atapata tuu anacho kitafuta maana inaonekana mnajuana.Sawa mkuu


Karibu princess naomba niwe mwenyeji wako humu jukwaani pleaseHabari zenu Jf.
Asante"Never underestimate the power of prayer"!!
Karibu mpendwa!!!Jf kisima cha maarifa.
AsanteKaribu nandy
Asante, Karibu piaKaribu princess naomba niwe mwenyeji wako humu jukwaani please
Vipi jamii forum sasa waionaje..? ipo bomba au inamaruerue mengi.Asante