Ukiniita DF inanoga zaidiiHaha unataka nikuitaje?



AsanteeeKaribu sana Nandi
Hazijosha badoEti nikukaribishe na mimi!? au karibu zimekutosha!?
Unachokitafuta utakipataUkiniita DF inanoga zaidii
Msalimie billnassHabari zenu Jf.
Salama,karibu tena ndugu.Habari zenu Jf.
AsanteSalama,karibu tena ndugu.
Katibu ufurahie JfUnachokitafuta utakipata
Vipi umeshapata mwenyeji au nikutembeze majukwaani?Asante
Nimeshampata mkuuVipi umeshapata mwenyeji au nikutembeze majukwaani?
Sawa sawaAsanteee
Sawa mkuuSawa sawa
Basi tukionana huko kwingine tusiache kusalimiana